Matiangi bans foreign workers in Kenya

Matiangi bans foreign workers in Kenya

Jamaa wanoko hawa wanaona kwa jirani kuna pilau zuuri wao wapo na uji wao wa chumvi halafu wanaanza habari za kualikana..... ukija kwangu ruhusa kula utakavyo tu na mimi nikija kwako hivohivo....
 
Watu wanatokwa na Mipovu hapa Tz ikizuia Silvya Mulinge ilihali Kenya inawafukuza wafanyikazi wa kutoka nchi zingine..Kwani lengo la huyu dada lilikuwa gani eti lazima apate kazi Tz?

Those procedurally hired in Kenya and with valid work/residence permits need not worry. Target is this non-value adding lots out to strain social amenities,harbouring criminal intents and generally those in positions Kenyans can competently take up!
Mulinge is of more value to Vodacom Tz than what these Tz fellows can imagine!
 
Rais Mzima anasema kwa kinywa chake kwamba anafungulia watu wote wa afrika mipaka ya kenya tena anaanza kuwafukuza. Hii ni kuwa Mwehu 😀

Visa on arrival is not a green light to illegally work or overstay your visit! You're better suited to know this,fake kikuyu!
 
Hivi kuna mtu mwenye Akili timamu anaweza kwenda kufanya kazi Kenya ?
Hata mimi ninashangaa, with all those insecurity, tribalism, police killings, corruption, poor transportation, ajali za barabarani, water and food scarcity..ukiongezea na roho mbaya za wakenya.
 
Hahaha JPM is making people go wild

Uhuru granted free movement and free working permits for all Africans now what went wrong over the sudden he does not want to see them around on their working places.? Where shall they eat? 😀😀😀😀😀😀😱View attachment 768982 View attachment 768983

Reading and comprehension is a skill acquired in lower primary! Despite free visas on arrival,there are laws stipulating further stay beyond visa validity and working. What can't you understand!?
 
Hao ndiyo wakenya walivyo, ni watu wabinafsi sana, wao wakifanya wanaona ni sawa, ila wakifanya wengine kwao ni kosa na wanasema wakenya ndiyo wanaolengwa, mifano ni mingi sana, Tanzania ilipokataa mpango wa EPA, walisema Tanzania ina lengo la kuikomoa Kenya, ila Kenya ilipojitoa katika mpango wa kuzuia nguo za mitumba kutoka USA baada ya kutishwa na Marekani, walisema kwasababu Kenya inalinda soko lake. Hawa kiboko yao ni uncle Magu tu, na anawanyorosha vizuri sana
Matiangi warned illegal workers, he didn't deny a working permit to somebody who deserves one. Stupid.
 
Tanzania itajengwa na watanzania wenyewe tuache porojo tufanye kazi kuijenga nchi yetu
 
Matiangi warned illegal workers, he didn't deny a working permit to somebody who deserves one. Stupid.
Pumbavu wewe, humsikii hapo akisema kwamba haiwezikani wageni kuja kufanya kazi zinazowezwa kufanywa na wakenya?, na ametaja baadhi ya kazi kama vile accountants?, ninyi wakenya mna roho mbaya sana, kila kitu mnataka mpate ninyi tu, vya wenzenu mnataka, ila vyenu nimkwa ajili yenu tu.
 
Those procedurally hired in Kenya and with valid work/residence permits need not worry. Target is this non-value adding lots out to strain social amenities,harbouring criminal intents and generally those in positions Kenyans can competently take up!
Mulinge is of more value to Vodacom Tz than what these Tz fellows can imagine!
Visa on arrival is not a green light to illegally work or overstay your visit! You're better suited to know this,fake kikuyu!
Silvya Mulinge has no special technical skill she is actually a foodscience graduate. Management experience is not a skill, success of safcom is not due to her nor can it be attributed to her. Infact safcom is not succeful due to Michael Joseph alone its a mix of many things. There many Tanzanians running huge companies and In Ministries that handle Billions of dollars, there is no talent that she brings on board that does not exist.
Matiangi was clear, for technical workers like teachers and accountants validly working in kenya, their employers will be compelled to sack them and employ kenyans otherwise, no work visa for them
 
Pumbavu wewe, humsikii hapo akisema kwamba haiwezikani wageni kuja kufanya kazi zinazowezwa kufanywa na wakenya?, na ametaja baadhi ya kazi kama vile accountants?, ninyi wakenya mna roho mbaya sana, kila kitu mnataka mpate ninyi tu, vya wenzenu mnataka, ila vyenu nimkwa ajili yenu tu.
Kwa hivo dada aliyenyimwa work permit Tz ni accountant? Malenge hii.
 
Silvya Mulinge has no special technical skill she is actually a foodscience graduate. Management experience is not a skill, success of safcom is not due to her nor can it be attributed to her. Infact safcom is not succeful due to Michael Joseph alone its a mix of many things. There many Tanzanians running huge companies and In Ministries that handle Billions of dollars, there is no talent that she brings on board that does not exist.
Matiangi was clear, for technical workers like teachers and accountants validly working in kenya, their employers will be compelled to sack them and employ kenyans otherwise, no work visa for them

She might have studied food science yes but more often than not first degrees do not define ones profession or career path! If anything, they are just to empower one to explore potential strengths and then advance in a path you have a passion in. With disruptive technology like in the telcos,they're more inclined to harness potential brains that can match the trends and adept enough to stay the course . Ms Mulinge has earned her stripes in Safcom hence the confidence from her peers to steer Vodacom to greater heights!

For once give the sister her due recognition!
 
She might have studied food science yes but more often than not first degrees do not define ones profession or career path! If anything, they are just to empower one to explore potential strengths and then advance in a path you have a passion in. With disruptive technology like in the telcos,they're more inclined to harness potential brains that can match the trends and adept enough to stay the course . Ms Mulinge has earned her stripes in Safcom hence the confidence from her peers to steer Vodacom to greater heights!

For once give the sister her due recognition!
She is Not special, Managerial skill is not technical skill..Managerial experience is so common everywhere even in Burundi and iraq
 
She is Not special, Managerial skill is not technical skill..Managerial experience is so common everywhere even in Burundi and iraq

Even in Timbuktu or Mongolia sikatai but not all managers have skillful leadership qualities. Leadership skill is the bottomline when scouting for that inspirational figure to guide other skilled talents and to prudently utilize resources. Most CEOs fall in this category of which whoever tapped Sylvia for the post was well briefed.
 
Back
Top Bottom