matibabu kwa njia ya kompyuta

matibabu kwa njia ya kompyuta

Smile

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2011
Posts
15,347
Reaction score
11,619
ni ramli ya kizungu au ni nini?
sometimes nikiwa katika kipindi cha ovulation kiuno/nyonga huwa inaniuma sio sana lakini.especial kama ni ovary ya upande wa kushoto
sasa juzi ikanitokea
nikamueleza best yangu sasa tukiwa njiani tukaona clinic ya wanawake na uzazi nikamwambia tucheki maeneo yetu kama yapo vizuri siku hizi magonjwa mengi
basi tukaenda pale,kumuona dokta na kupima 50
wakasema kupima ni kwa computer basi tukalazwa kitandani pale tukavuliwa vichupi vyetu vikatupwa nje huko
tukashikishwa mouce ya kompyuta dkk mbili tatu tukaambiwa tayari tufate majibu kesho yake eti system ina load matatizo yetu
kesho yake hao tukaenda
maweeeeeeeee mimi nikaambiwa eti nina cyst ndogooo ndo inaanza kujitokeza matibabu laki mbili,nikawaambia mi nina insurance nitaenda kununua dawa sehemu ingine wakasema kama ni hivo sitapona
ila niliogopa kweli nikaendfa kwa dokta mwingine akaniambia sina chochote akanieleza na sababu za kuumwa kwangu
shoga yangu nae kidogo afe pressure maana aliambiwa mlango wa kizazi upo wazi so unatakiwa ufungwe yaani ngoja narudi...
 
hehehe vile vimashine vya simulation
vinakupa hofu kwanza halafu wanakuuzia panadol kwa laki mbili
umenichekesha kweli hadi naona kufuli uliwaachia
 
hehehe vile vimashine vya simulation
vinakupa hofu kwanza halafu wanakuuzia panadol kwa laki mbili
umenichekesha kweli hadi naona kufuli uliwaachia
ahaaaa yaani kama ulikuwepo
hiyo nguvu ya kuvaa kufuli ningetoa wapi kaka?
 
Hahahaha....Bikra Smile..chunga usikute umejipiga picha bila kujua..:A S 39:

Wapi uko sio maeneo ya Tabata kweli!??
Cc: Mtambuzi
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha ha, tabu ya kupima ukiwa mzima hawakosi neno


Kuumwa wakati wa ovulation sidhani kama ni maajabu, sio wa kwanza kusikia unaumwa hivyo.

wakasema kupima ni kwa computer basi tukalazwa kitandani pale tukavuliwa vichupi vyetu vikatupwa nje huko
 
Hahahaha....Bikra Smile..chunga usikute umejipiga picha bila kujua..:A S 39:

Wapi uko sio maeneo ya Tabata kweli!??
Cc: Mtambuzi
sio tabata bwana buguruni huko.unavuliwa chupi kwa kompyuta eti? yaani dunia ina uongo hiii ? hela inatafutwa jameni
 
Ha ha ha ha, tabu ya kupima ukiwa mzima hawakosi neno


Kuumwa wakati wa ovulation sidhani kama ni maajabu, sio wa kwanza kusikia unaumwa hivyo.
nilikuwa sijui bwana nimesoma biology iyo topic sijui sikwenda shule siku hiyo? so nilivoona nyonga inasumbua nikaona nicheki fasta si unajua mwanamke nyonga? na mchina kaleta kila kitu isipokuwa nyonga dada eeh nitaishije mjini hapa cc@Lara1 gfsonwin
 
Last edited by a moderator:
ni ramli ya kizungu au ni nini?
sometimes nikiwa katika kipindi cha ovulation kiuno/nyonga huwa inaniuma sio sana lakini.especial kama ni ovary ya upande wa kushoto
sasa juzi ikanitokea
nikamueleza best yangu sasa tukiwa njiani tukaona clinic ya wanawake na uzazi nikamwambia tucheki maeneo yetu kama yapo vizuri siku hizi magonjwa mengi
basi tukaenda pale,kumuona dokta na kupima 50
wakasema kupima ni kwa computer basi tukalazwa kitandani pale tukavuliwa vichupi vyetu vikatupwa nje huko
tukashikishwa mouce ya kompyuta dkk mbili tatu tukaambiwa tayari tufate majibu kesho yake eti system ina load matatizo yetu
kesho yake hao tukaenda
maweeeeeeeee mimi nikaambiwa eti nina cyst ndogooo ndo inaanza kujitokeza matibabu laki mbili,nikawaambia mi nina insurance nitaenda kununua dawa sehemu ingine wakasema kama ni hivo sitapona
ila niliogopa kweli nikaendfa kwa dokta mwingine akaniambia sina chochote akanieleza na sababu za kuumwa kwangu
shoga yangu nae kidogo afe pressure maana aliambiwa mlango wa kizazi upo wazi so unatakiwa ufungwe yaani ngoja narudi...
Smile mi nimekua interested sana na hapo ulipovuliwa chupi "tukalazwa kitandani pale tukavuliwa vichupi vyetu vikatupwa nje"kwahiyo mlipata hayo matibabu bibi akiwa anaonekana au mi silewi vizuri hapo?
 
smile mi nimekua interested sana na hapo ulipovuliwa chupi "tukalazwa kitandani pale tukavuliwa vichupi vyetu vikatupwa nje"kwahiyo mlipata hayo matibabu bibi akiwa anaonekana au mi silewi vizuri hapo?
ndio mkuu eti kompyuta inasoma data mdogo mdogo hapo kwa bibi
 
teh ehe teh teh.....jamaa alifaidi na kacomputer kake...
 
sio tabata bwana buguruni huko.unavuliwa chupi kwa kompyuta eti? yaani dunia ina uongo hiii ? hela inatafutwa jameni

Kumbe buguruni....mi najua Tabata ndo kuna vimbwanga kama hivyo!

Hapo wanatafuta hela kwako na kwa watu watakaotumia picha zako.

Maskini Bikra smile..wakijua u-bikra bado watakuuza kwa bei ghali sana!!1
 
Last edited by a moderator:
ndio mkuu eti kompyuta inasoma data mdogo mdogo hapo kwa bibi
Haya mi sisemi,na hivyo unavyoonekana kwenye hiyo avatar yako nikifikiria huyo bibi alivyo,nabaki kumuonea wivu huyo mtabibu,badala ya kukuonea huruma,lakini pole kwa yaliyo kukuta mwaya.
 
kumbe buguruni....mi najua tabata ndo kuna vimbwanga kama hivyo!

Hapo wanatafuta hela kwako na kwa watu watakaotumia picha zako.

Maskini bikra smile..wakijua u-bikra bado watakuuza kwa bei ghali sana!!1
hivi wanauza picha eeh maweee!!!!
 
haya mi sisemi,na hivyo unavyoonekana kwenye hiyo avatar yako nikifikiria huyo bibi alivyo,nabaki kumuonea wivu huyo mtabibu,badala ya kukuonea huruma,lakini pole kwa yaliyo kukuta mwaya.
kwani alipiga picha avatar au mimi?
 
ni ramli ya kizungu au ni nini?
sometimes nikiwa katika kipindi cha ovulation kiuno/nyonga huwa inaniuma sio sana lakini.especial kama ni ovary ya upande wa kushoto
sasa juzi ikanitokea
nikamueleza best yangu sasa tukiwa njiani tukaona clinic ya wanawake na uzazi nikamwambia tucheki maeneo yetu kama yapo vizuri siku hizi magonjwa mengi
basi tukaenda pale,kumuona dokta na kupima 50
wakasema kupima ni kwa computer basi tukalazwa kitandani pale tukavuliwa vichupi vyetu vikatupwa nje huko
tukashikishwa mouce ya kompyuta dkk mbili tatu tukaambiwa tayari tufate majibu kesho yake eti system ina load matatizo yetu
kesho yake hao tukaenda
maweeeeeeeee mimi nikaambiwa eti nina cyst ndogooo ndo inaanza kujitokeza matibabu laki mbili,nikawaambia mi nina insurance nitaenda kununua dawa sehemu ingine wakasema kama ni hivo sitapona
ila niliogopa kweli nikaendfa kwa dokta mwingine akaniambia sina chochote akanieleza na sababu za kuumwa kwangu
shoga yangu nae kidogo afe pressure maana aliambiwa mlango wa kizazi upo wazi so unatakiwa ufungwe yaani ngoja narudi...

Vipi wewe bwana Mangushi, Naonaumechanganyikiwa....
Yaliyonikuutaaa mwenzangu, ni mamboo makubwaaaa
Hata duka umelifungae hatuelewi sababu

Yaliyonikuutaaa mwenzangu, nitaaakuelezaaa

Natamani kunywa sumu au hata kujingonga ee bwaanaaeee.....
Nimechukuuliwa pesa zangu, Milionii Mbili..........
 
Smile umeniacha hoi! Hayo matibabu yanaleta maswali mengi sana. Sasa hapo kwa bibi mliwekewa nini? Au ni kuondoa kufuli tu na kushika mouse ndio kipimo kinafanyika? Najaribu kulinganisha na kipimo cha ultrasound wakati wa ujauzito lkn akili hainipi.
 
Last edited by a moderator:
hivi wanauza picha eeh maweee!!!!

Hahaha! Pole. Baadhi ya picha ni zile anazo wekaga SILENT WHISPER Kwa hiyo leo jioni uanze kutembelea kile jukwaa la milango ya chuma mpaka upewe ufunguo na invizibo. Bahati nzuri hawaruhusiwi kupiga picha sura za watu. Ni maeneo husika tu ndo yanapigwa.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom