Nevu hamis
Member
- Feb 20, 2014
- 5
- 0
Matiti kutokwa na majimaji na wakati mwingine kunakua na kama kuna maziwa hajawahi toa mimba wala hajawahi nyonyesha amekua na tatizo hili kwa mda mrefu tangu 2008 mpaka sasa bado,amejaribu kuwaona Dokta tofauti na kutumia dawa pia alizo pewa but hazija msaidia Dokta alisema ni homons je hakuna njia nyingine yakumsaidia kukausha maji maji hayo?