Matiti ni mali ya nani?

Matiti ni mali ya nani?

Hahahaha! Na Viti vitadai meza, vyupa vitadai glasi, glasi zitadai red label, red label itamdai Acid.............. Acid atamwamisha mtu meza!!!
sio linkage hiii....u have been warned
 
Tayari inductee wa kwanza keshaingia kwenye ignore list yangu. Wanna guess who it might be?
 
Hapana....nilikuwa natoa jibu stahilifu kwa The Finest aliyetaka kuleta mambo ya unajimu hapa. SI unaona hata mwenye kanijibu kwa kicheko.....jibu langu lilikuwa spot on. Ni kweli kwenye hvyo vikao vya JJ na kwingineko watu vilevi vikishakolea wanaanza kuspeculate nani ana ID ngapi JF....

Au wewe unaweza kabisa kwa uhakika kujua nani ni nani humu?

Got something against JJ?....
Ila hahihitaji uwezo wa ziada kujua muunganiko wa baadhi ya id humu jf....bila hata speculation...
 
Waridi uko wapi sasa mbona huulizi? Au Roya kakukataza? Mimi sing'ati bana.....

sor i was out kdg bt m bak.....nilitaka kuulidha ivi ma alfa n omega et ...et mbona we mkali mkali afu sa ingne watumia luga nyeusi...ivo tu ..
 
Got something against JJ?....
Ila hahihitaji uwezo wa ziada kujua muunganiko wa baadhi ya id humu jf....bila hata speculation...

Lakini bado ni guesswork na speculation tu. Ona bacha alivyoandamwa kipindi fulani.....
 
Kimey hivi ile FRAME ulienda nayo usalule au ulimuachia Generation-y
 
sor i was out kdg bt m bak.....nilitaka kuulidha ivi ma alfa n omega et ...et mbona we mkali mkali afu sa ingne watumia luga nyeusi...ivo tu ..

aaaah bebiiii rozi na wewe una mapozi sana.....mi ni cool dude but i'm too cold to hold and too hot to handle.....
 
kumekucha na makucha yake

lakini nyie cousinz sasa mmezidi

yani mtu anauliza matiti mali ya nani?? hivi tukianza hivyo kweli, si choo kitadai tIGO, ushuzi utadai pua, umbeya utadai sikio... mawigi yatadai
kha... mie nilijua alichokupa mungu chako, kumbe vina wenyewe.. ngoja nijisachi
dah asante sana nimechekla mpk bas
siko laitadai..hair ztadai...
 
aaaah bebiiii rozi na wewe una mapozi sana.....mi ni cool dude but i'm too cold to hold and too hot to handle.....

sawa lakin mimi sielew kingereza ungeandika kiswahili jaman mfalme wangu
lakn sa ingne kuwa na maneno km makali makali ivi minaona km si vyema iv ..au we waonaje?
 
Lakini bado ni guesswork na speculation tu. Ona bacha alivyoandamwa kipindi fulani.....

I ain't saying speculations are that good....ila zipo...but they die naturally in the due time....
Am out bro!
 
sawa lakin mimi sielew kingereza ungeandika kiswahili jaman mfalme wangu
lakn sa ingne kuwa na maneno km makali makali ivi minaona km si vyema iv ..au we waonaje?

Basi bebiiii usiwe na shaka....ntakuwa mpole sana. Nakushuru kwa kuliona na kunionyesha hilo.
 
hapo inategemea na n'tu na n'tu, baamedi na baamedi.

Sasa babu utatuwekea vipi limitation sehemu ambayo hatujawahi kufika wewe tuache tuje ukiona tunaweza kukusababishia INFERIORITY COMPLEX i suggest uendelee kuajiri wale mabaunsa
 
Wewe waweza kuniomba mimi chochote kile all day everyday.....nambie wataka nini weye binti Waridi alfu tisa mia na themanini?

nilichokuomba ndo icho basi naomba niridhie kadri ya ahadi yako ...tafadhali eeh mfalme wangu...
 
Back
Top Bottom