Matiti ni mali ya nani?

Yaani wewe asprin umetibu maumivu yangu leo, umenichekeesha sana nakushukuru, nimenuna tangu asubuhi kazi nyiingi, nguumu sana hapa za kuandika proposal, kweeli huwa hata mimi nikinyonyesha mtoto huwa sihisi mahaba kama akinyonya mume wangu jamanii!!
haya mama tuambie matiti mali ya nani....naoana hapo wote wanayatumia..:bump:
 
Ukitaka kunyonya shurti ujifanye infant :bathbaby:...

unajiafnye infant plllllllssssss...unajifanya mfup au unalia mama ataka nyonyoooooooo...inakuwaje aje ?????????
ebu sema apa
 
i wil always love you babu,huwa unaweka tabasamu usoni mwangu.
babu bwana,sasa naamini mtu akizeeka sana anarudia kuwa kama mtoto nchanga.

U r welcome my dear Cheusie.....(Ila usisahau mpaka sasa hatujafikia muafaka, nani ana hisa kubwa kwenye umiliki wa matiti yako)

The Following User Says Thank You to cheusimangala For This Useful Post:
Asprin (Today)
 
i wil always love you babu,huwa unaweka tabasamu usoni mwangu.
babu bwana,sasa naamini mtu akizeeka sana anarudia kuwa kama mtoto nchanga.

Jamani nimerudi...Hizi always lav zinatia mashaka sana.Mie ndo bibi yenu....Naomba babu awatambulishe rasmi......
 
unajiafnye infant plllllllssssss...unajifanya mfup au unalia mama ataka nyonyoooooooo...inakuwaje aje ?????????
ebu sema apa

Nataka kupiga chata ya © St. RR, kwenye matiti yako....
 
Yaani wewe asprin umetibu maumivu yangu leo, umenichekeesha sana nakushukuru, nimenuna tangu asubuhi kazi nyiingi, nguumu sana hapa za kuandika proposal, kweeli huwa hata mimi nikinyonyesha mtoto huwa sihisi mahaba kama akinyonya mume wangu jamanii!!

Ahsante Howdes, kwa compliment na kwa utambulisho kuwa wewe ni she.

Sasa nambie nani mwenye hisa kubwa kwenye umiliki wa hoteli ya watoto a.k.a puto la baba a.k.a matiti ya mama?
 
Jamani nimerudi...Hizi always lav zinatia mashaka sana.Mie ndo bibi yenu....Naomba babu awatambulishe rasmi......

Niwaonyeshe ulimi ulipo wakati mdomo wanauona? Turudi kwenye mada, hayo matiti yako, nani mwenye hisa kubwa ya umiliki kati yetu mimi, wewe na matesha wetu?
 
Nadhani st RR aliihitaji ufafanuzi humu wa kutaka kujua tofauti kati ya nyonyo,titi,ziwa!sijui kama imefafanuliwa!Nawasilisha

kwan umeskia hajui?
anajua kwa nadharia na vtendo babu wewe
uyoga tu unakuw amchoyo nyama je itakuwaje?
tokazako............
 
Niwaonyeshe ulimi ulipo wakati mdomo wanauona? Turudi kwenye mada, hayo matiti yako, nani mwenye hisa kubwa ya umiliki kati yetu mimi, wewe na matesha wetu?

Matesha ana hisa 20,mimi nina hisa 79.99 na wewe hisa 0.001.
 
Nataka kupiga chata ya © St. RR, kwenye matiti yako....
sawa mpz ni wewe2!!!!
fanya lolote juu ya mwili wangu...UKITAKA KUUFANYA KM GAZET KUUANDIKA PIA POAA NINI CHATA?
ntakupa na venue ingne uitie chata pia....roy jaman ile kitu imegoma kufunguka mpk leo ahh yan naboreka km umepata kujua ukitoka uko njooo uku unitengenezee ndo uendelee na yako
 


Orait...you are wish to be executed..!
 
habari yake dudddddu uuuu bwana........fnest yupo?
GY CHALIIIIIIIIIIIIII!!!!!

Hivi mnazungumzia nani ana haki ya kumiliki au nani ni mmiliki halali....maana hata kwenye ISC mainfii wanafakamia kweli hiyo maneno
 
Hivi mnazungumzia nani ana haki ya kumiliki au nani ni mmiliki halali....maana hata kwenye ISC mainfii wanafakamia kweli hiyo maneno

Mzee wa lami lami, vumbi vumbi.....habari aisee......hapa sio umiliki unaozungumzwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…