hiyo mbona imeisha babu ni mwanamke...
Source please?
im the source.......
Not reliable....kama uhuru na mzalendo
hahahahah lol
haya we usiamini lakini mmilika wa matiti ni mwanamke
sanasana anashirikiana na watu ..
lakini ye kazaliwa nayo na atakufa nayo....
hili swala bwana ngaja nikuulize mmiliki wa (penis ) ni nani???
Mwanamke! Bila ya yeye itakuwa haina maana ya kuwepo kabisaaaaaaaaaaaaaa
najua unataka niseme mmliki wa matiti ni mwaume lakini si kweli...
borea ni seme ni mali ya shirika...
kwa sababu kama mimi ni mmliki wa penis
na wewe ni mmliki wa Vagina...
na matiti ni yangu,yako,na ya watoto...
SRED KLOSDI
The Following User Says Thank You to afrodenzi For This Useful Post:
Asprin (Today):bump::bump::bump::whoo::whoo::whoo::hungry::hungry::hungry:
haya bwana nadhani tumeelewana kidogo mi naenda kulala saa 11pm sasa.... mchana mwema
tutaonana kesho..
Nenda kule kwenye sredi...kuna mwenzio anatoa harufu mbaya kwenye kikojoleo chake, jamaa hapendi...lolz
babu we nenda kamwanzishie mi asuhuhi namdamkia.....
ntafurahu kama ntakukuta hapo
nikianza kumfumilia saa hizi sinto maliza....
Usijali. Utanikuta inshaallah Mungu akijalia. Niko hapa kwa ajili yako, eh *****......:whoo::whoo::whoo:
haya baba watoto
nitunzie mali yangu (nadhani unajua ni nini)
usijali ya kwako kufuli kali na ninajua ufunguo unao...
we furahia mchana wako mi ngoja nianze kubusu mto ...lol
Hhahaaaaaaa... dah...haya bana....
Na wewe unitunzie matiti, nyonyo na chuchu zangu, sawae? Sidhani kama hii ni ofu topiki....
aha bwana sinilikwambia hiyo mali ya shirika...
ungesema tutunzie i mean weye na watoto baadae.. au vipi ??
mmmhhh umeanza kuniogopesha .... tukipata mtoto usije sema huyo ananyonya sasa hivi ,mimi(i mean wewe) next
Haki ya Walakhi we utanifanya nisi lale leo.. mhhh
Hivi nani anayatumia kwa muda mrefu zaidi? Na nani akiyatumua yanakukosesha usingizi kama ambavyo umeghairi kwenda kulala? Huyo ndo atakuwa mmiliki mwenye hisa kubwa zaidi.....
sijawahi nyonyesha
lakini ikitokea hivyo mtoto wangu atakuwa full time miezi 6 ya kwanza ... na wewe unapigwa full stop
halafu baada ya miezi 6 utaingia lakini itakuwa part time....
i think is fear ....... are we in same page??