kumekucha na makucha yakeKamanda naona kumekucha huko mtaa wa pili.
nikuombe kitu?
nikuombe kitu?
nikuombe kitu?
Huwezi kumjua. Uta guess tu kwamba huenda ni fulani lakini kuthibitisha hutaweza. Matokeo yake ni watu kukaa kwenye vikao vya baa na kuanza kuguess nani ana ID ngapi na ID ipi ina belong kwa nani. Ni guesswork tu....
Huwezi kumjua. Uta guess tu kwamba huenda ni fulani lakini kuthibitisha hutaweza. Matokeo yake ni watu kukaa kwenye vikao vya baa na kuanza kuguess nani ana ID ngapi na ID ipi ina belong kwa nani. Ni guesswork tu....
Babu watoto wako wote wamezaa wajukuu wa kike? :bump:
Ili mradi usimwombe matiti. Utakula ban!
kumekucha na makucha yake
lakini nyie cousinz sasa mmezidi
yani mtu anauliza matiti mali ya nani?? hivi tukianza hivyo kweli, si choo kitadai tIGO, ushuzi utadai pua, umbeya utadai sikio... mawigi yatadai nywele zake na simu zitdai midomo??
kha... mie nilijua alichokupa mungu chako, kumbe vina wenyewe.. ngoja nijisachi
Vipi mkuu.....
Hapa unafanya petition ya mtu kutolewa jela?
kumekucha na makucha yake
lakini nyie cousinz sasa mmezidi
yani mtu anauliza matiti mali ya nani?? hivi tukianza hivyo kweli, si choo kitadai tIGO, ushuzi utadai pua, umbeya utadai sikio... mawigi yatadai nywele zake na simu zitdai midomo??
kha... mie nilijua alichokupa mungu chako, kumbe vina wenyewe.. ngoja nijisachi
Vipi mkuu.....
Hapa unafanya petition ya mtu kutolewa jela?
hahahaaaaaaaaaaa..... na meza itaanza upya kudi glasi, na glasi itadai chupa, chupa itadai red label, na red label itadai acid, na acid atahamisha meza,.... na meza itadai chupaHahahaha! Na Viti vitadai meza, vyupa vitadai glasi, glasi zitadai red label, red label itamdai Acid.............. Acid atamwamisha mtu meza!!!
Linapokuja suala la matiti wanaume wengi (si wote) hunyang'anyana hati miliki ya matiti na watoto wanaonyonya hata hivyo wanawake nao kila mmoja ana mtazamo wake tofauti,, nimekuwa nikipata na kigugumizi cha mawazo kuwa nani hasa anaestahili kuwa mmiliki wa matiti, kuna mdada nilimuuliza jibu lake lilikuwa hivi "Mume wangu ndiye anamiliki matiti yangu kwa sababu mume alikuja kabla ya mtoto. Baada ya mtoto kunyonya kwa muda inakuwa zamu ya mume wangu kwani tunalala kitanda kimoja. Mtoto wangu ana access ya matiti yangu kwa muda tu wakati mume wangu ni mali yake maisha yetu yote. Matiti yangu ni kitu ambacho mume wangu huchezea na pia ni mto wake wa kulalia. Ukweli ni kwamba mume wangu hujisikia wivu kama mtoto wangu ataendelea kunyonya zaid ya muda aliopewa. Linapokuja suala la matiti yangu mume wangu huwa anachanganyikiwa, hawezi kufanya ile kitu (sex) bila matiti yangu"
Je, wewe kama ni mwanamke matiti yako ni mali ya nani? Mtoto au mume wako?
naomba msaada katika kunifahamisha hili suala jamani
nani tena kala ban???Hivi Maty yuko wapi amesababisha watu wakapigwa BAN
Hahahaha! Na Viti vitadai meza, vyupa vitadai glasi, glasi zitadai red label, red label itamdai Acid.............. Acid atamwamisha mtu meza!!!
Hahahaha! Na Viti vitadai meza, vyupa vitadai glasi, glasi zitadai red label, red label itamdai Acid.............. Acid atamwamisha mtu meza!!!
hilo nalo neno!!!Wanawake wote habari senyu.........:hungry::hungry:....... samahani kwa hii off topic, hivi mtoto akinyonya nyonyo mnajisikia vilevile kama akinyonya baba watoto? Nauliza kwasababu sijawahi kuwasikia mkiguna kimahaba wakati watoto wakinyonya. Samahani kama nimewakwaza.:whoo::whoo::whoo:
Hapana....nilikuwa natoa jibu stahilifu kwa The Finest aliyetaka kuleta mambo ya unajimu hapa. SI unaona hata mwenye kanijibu kwa kicheko.....jibu langu lilikuwa spot on. Ni kweli kwenye hvyo vikao vya JJ na kwingineko watu vilevi vikishakolea wanaanza kuspeculate nani ana ID ngapi JF....
Au wewe unaweza kabisa kwa uhakika kujua nani ni nani humu?