Matiti ni mali ya nani?

Matiti ni mali ya nani?

aha bwana usijenifanya nirudi nyumbani bwana..
nimekuachia kazi ya kumtunza babu ...
halafu hujui hata hana meno....
mpaka mjirani wananiambia .. hivi kweli..
ndo maana akili zinamruka lol

Babu hatunzwi na infiiz, anatunzwa na wajukuu. Haya lete maziwa yako hapa mjukuu wangu mpenzi.
 
Babu hana matiti. babu ana chuchu kwa ajili ya wajukuu zake.

hahaahahahah lol aha babu unavichekesho ile mbaya ...
haya basi wewe utawadanganya wajukuu na chuchu zako..
na mimi nta mnyonyesha mme wangu....
 
nimwambia hapo awali

penis ni mali yangu
Vagina ni mali yake
na matiti ni mali ya shirika (yeye,yangu na watoto)

Safari ya kulala imeishia wapi kajukuu kangu? Au matiti yanakusumbua? Mletee babu ayapatie tiba mbadala.
 
hahaahahahah lol aha babu unavichekesho ile mbaya ...
haya basi wewe utawadanganya wajukuu na chuchu zako..
na mimi nta mnyonyesha mme wangu....

Mme hanyonyeshi, ananyonyeshwa mtoto.

Ile kitu inaitwa matiti, yaweza kuwa
Ni hoteli ya mtoto,
Ni maputo ya baba,
Ni mwili wa mama.

Sasa utamnyonyeshaje mtu maputo?
 
Safari ya kulala imeishia wapi kajukuu kangu? Au matiti yanakusumbua? Mletee babu ayapatie tiba mbadala.

hahahahhahahah lol babu wewe ..
we ndo umenifanya nisilale
sasa hivi sasa 1.15am (just after midnite)
uzuro mmoja niko mwenyewe..
otherwise ningesha vutwa lol
 
Mme hanyonyeshi, ananyonyeshwa mtoto.

Ile kitu inaitwa matiti, yaweza kuwa
Ni hoteli ya mtoto,
Ni maputo ya baba,
Ni mwili wa mama.

Sasa utamnyonyeshaje mtu maputo?


hahahhaahah lol
basi mi ntakuwa namnyonyesha na ye atakuwa anamdanganyia mi nikichoka kunyonyesha ...
au vipi....
 
hahahahhahahah lol babu wewe ..
we ndo umenifanya nisilale
sasa hivi sasa 1.15am (just after midnite)
uzuro mmoja niko mwenyewe..
otherwise ningesha vutwa lol

Pole sana. Utakuwa unakabiliwa na ugonjwa wa matitiism. Hiyo dawa yake anayo babu peke yake. njoo akutibu.
 
hahahhaahah lol
basi mi ntakuwa namnyonyesha na ye atakuwa anamdanganyia mi nikichoka kunyonyesha ...
au vipi....

Anamdanganyia nini? Baba hana matiti. ana chuchu. Sasa umpe mtoto chuchu, ukute chuchu zenyewe zimezingirwa na minyoya, unataka mtoto afe kwa pumu?
 
Pole sana. Utakuwa unakabiliwa na ugonjwa wa matitiism. Hiyo dawa yake anayo babu peke yake. njoo akutibu.

hahahaahahah lol huo ugonjwa ni we umeugundua ndo maana una dawa yake..
na taka kujua dawa nini kwanza kabla sijakuruhusi unitibe...
 
jamani kwaherini jamani!
leo kituo cha kwanza kingstaa tegeta
 
Back
Top Bottom