Matiti...

Matiti...

prof issa ameongea point muhimu sana,hicho kitu kinachangiwa na factor nyingi sana,ambapo nyingine sio factor ambazo zinaweza kuonekana kibinadamu,ambapo tunarudi kulekule kwa sir GOD katika maswala mazima ya uumbaji.kwa hiyo mi nachoweza kusema kulingana na swali lililoulizwami naweza usema wakati mwingine ndio na wakati mwingine hapaNA.
 
Tukiwa kwenye mada ya matiti. Ningependa kuuliza, wakina dada mnaponyonyesha watoto wenu je mnapata midadi kama hile ya kwenye uroda.
 
Tukiwa kwenye mada ya matiti. Ningependa kuuliza, wakina dada mnaponyonyesha watoto wenu je mnapata midadi kama hile ya kwenye uroda.

Duh! Zakumi mbona saa ingine unakuwaga na akili chafu sana? Yaani mama asikie utamu wakati mwanae anamnyonya nyonyo yake? Zakumi tafadhali bana...Lol....

Unajua haya mambo yab uroda yapo kichwani mwa mtu ndo maana kuna msemo wa 'the biggest sexual organ is the brain'. Sasa kama huyo mama mnyonyeshaji ana akili chafu kama ya kwako Zakumi, labda ndio anaweza kusikia utamu akiwa anayonyesha. Zaidi ya hapo yeye (mama) akili yake itakuwa ni kumshibisha mtoto.

Ngoja tumsubiri Ndg. Companero anaweza akaja akatupa ufunuo zaidi kama kuna kanuni au nadharia inayoelezea swali lako zaidi ya ile ya Oedipus Complex...Lol
 
Ni kweli kwamba wengine huwa ni maumbile yao ya kuzaliwa, ila pia kutomaswa kupita kiasi napo kunachangia sana kuyalaza hayo mtt. ndo maana dada du mjanja huwa hapendi kabisa kunyonywa
 
Ni kweli kwamba wengine huwa ni maumbile yao ya kuzaliwa, ila pia kutomaswa kupita kiasi napo kunachangia sana kuyalaza hayo mtt. ndo maana dada du mjanja huwa hapendi kabisa kunyonywa

Hii dhana ya kutomaswatomaswa haina compelling data ya kuiunga mkono. Binafsi naamini kabisa ni maumbile tu ya mtu na mchanganyiko wa mambo mengine kama kuzaa, umri, n.k.

Kuna wanawake hasa wale wenye matiti makubwa, anaweza akawa ni msichana mdogo tu ambaya hajavurugwa vurugwa lakini matiti yake yakawa yameanguka kutokana uzito wa ukubwa wake. Na unaweza ukakuta kazee zee kenye vindimu na bado viko gado saa sita unusu. Hii ina dispell hiyo dhana ya kushikwa shikwa.

Overall, I looooove tiddays....I just love 'em....
 
Hii dhana ya kutomaswatomaswa haina compelling data ya kuiunga mkono. Binafsi naamini kabisa ni maumbile tu ya mtu na mchanganyiko wa mambo mengine kama kuzaa, umri, n.k.

Kuna wanawake hasa wale wenye matiti makubwa, anaweza akawa ni msichana mdogo tu ambaya hajavurugwa vurugwa lakini matiti yake yakawa yameanguka kutokana uzito wa ukubwa wake. Na unaweza ukakuta kazee zee kenye vindimu na bado viko gado saa sita unusu. Hii ina dispell hiyo dhana ya kushikwa shikwa.

Overall, I looooove tiddays....I just love 'em....
nakuunga mkono hii inasababishwa na maumbile tu,kawaida hobby yangu ni hapo kifuani,bongo kipindi cha nyuma nilikua na kadenti fulani nilikuta ngoma hapo juu ni mma kama watoto wa mswati lakini baada ya kuwa nae kipindi kidogo na kumpeleka na mambo ya kikubwa kweli titi lilianza kuwa kuuubwa na baadae likaanza kudondoka na sasa kuna shemeji yenu toka kwa kibaki mwaka wa tatu sasa hata hivi vitit uvibinyebinye na kuvibonyeza vipi ndio kwanza vinazidi kutuna na kuchachamaa yaani raaaaha
 
nakuunga mkono hii inasababishwa na maumbile tu,kawaida hobby yangu ni hapo kifuani,bongo kipindi cha nyuma nilikua na kadenti fulani nilikuta ngoma hapo juu ni mma kama watoto wa mswati lakini baada ya kuwa nae kipindi kidogo na kumpeleka na mambo ya kikubwa kweli titi lilianza kuwa kuuubwa na baadae likaanza kudondoka na sasa kuna shemeji yenu toka kwa kibaki mwaka wa tatu sasa hata hivi vitit uvibinyebinye na kuvibonyeza vipi ndio kwanza vinazidi kutuna na kuchachamaa yaani raaaaha

Ebana eeeh....wewe kwa mujibu wa sheria za baadhi ya nchi ungeweza kufungwa jela wewe (inategemea na huyo binti alikuwa na umri gani).
 
Acha udhalilishaji wewe
Kwani kuna mtu aliandika application ya kuomba matiti makubwa au madogo
Kumbuka neno lolote unaloandika hapa bila kufikiria unamdhalilisha aidha mama yako au dada yako au mkeo
Kama alivyosema Nyamayao ni maumbile ya mtu hadi mtu ingekuwa kabala ya kuzalia kila mtu anapewa fomu za kujaza azaliwe katika sura au umbo gani hapa duniani pasingetosha mjomba



Diet pia inachangia...hamburgers, chips na soda we acha tu
 
Duh! Zakumi mbona saa ingine unakuwaga na akili chafu sana? Yaani mama asikie utamu wakati mwanae anamnyonya nyonyo yake? Zakumi tafadhali bana...Lol....

Unajua haya mambo yab uroda yapo kichwani mwa mtu ndo maana kuna msemo wa 'the biggest sexual organ is the brain'. Sasa kama huyo mama mnyonyeshaji ana akili chafu kama ya kwako Zakumi, labda ndio anaweza kusikia utamu akiwa anayonyesha. Zaidi ya hapo yeye (mama) akili yake itakuwa ni kumshibisha mtoto.

Ngoja tumsubiri Ndg. Companero anaweza akaja akatupa ufunuo zaidi kama kuna kanuni au nadharia inayoelezea swali lako zaidi ya ile ya Oedipus Complex...Lol

Kwikwikwi. Nilikuwa nakumbuka uvumi kuwa Sir, Paul McCartney alikuwa hataki mkewe wa zamani Heather Mills kunyonyesha mtoto. Hapa sijuhi Sir. Paul alikuwa anaona kama mtoto anafaidi sana.

In divorce papers leaked to the press last year, Mills accused McCartney of assaulting her at least four times, drinking heavily, smoking cannabis and banning her from breastfeeding her daughter.

McCartney often told Mills that he did not want her to breast-feed their child, making the comment "they are my breasts" .
 
vp kwa vibinti vidogo tu vya shule za sekondari au vyuoni au wale wasioolewa bado lakini wanaonekana vicheche, je matiti yao ambayo wengi wao yanaonekana kama 'kandambili' hao nao inakuaje?, sababu ni kutomaswatomaswa na kunyonywanyonywa ovyo-ovyo au?

Wapo pia vicheche wakutisha lakini matiti yao ni 'chuchu konzi saa sita'.....Jibu umepewa ni maumbile.Basi.
 
Nilikuwa na maana wale wanaume wanaojifanya wanawake wataendelea kuwa na matiti madogo.

Unazungumzia wale wanaomeza vidonge vya homoni za kike ile wawe na maungo (features) kama ya kike?
 
Back
Top Bottom