Matiti


ya kwangu yaliwahi kuuma mara tu baada ya kujifungua tena yalikua yananitesa sana maana hadi nilikua napata homa,mama akawa anankanda na maji vuguvugu halafu napaka mafuta ya nazi,pole ni mabadiliko ya mwili itaisha tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…