Matofali ya kujenga yanauzwa yapo kigamboni kibada

Matofali ya kujenga yanauzwa yapo kigamboni kibada

sasa alikuwa anashindwa nini kusema?
Wengine siyo wakujibizana nao mkuu ... mawasiliano yapo pale kama alikuwa na uhitaji angepiga... kwasabu mda wakuingia jf tuna pata mara chache ndiyo maaana nkasema mwenyekuhitaji serious awasiliane ...
 
Habari za mda huu wana jf kuna matofali ya kujenga yanauzwa yapo kigamboni kibada mwenye kuhitaji tafadhali tuwasiliane ....... hakuna dalali wala mtu kati kwa maelezo zaidi tuwasiliane 0742612561

Nahitaji mtu aliye serious tufanye biashara only
View attachment 2172614
Mkuu kwanini sisi watanzania hatuko honesty? Umeshindwa kutaja idadi ya tofali, size, aina na bei moja kwa moja bila kusubiri kuulizwa ulizwa?
 
Back
Top Bottom