Van pebles
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 2,861
- 5,305
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mara ya kwanza nakuona unajifariji Mtani. Bado jumamosi.
Me kama mjeruman nakufa Na tai shingoniKwa mara ya kwanza nakuona unajifariji Mtani. Bado jumamosi.
Ila nakuomba j/mosi panapo majaaliwa usije ukawakana As Vita ukawaita wacheza shooKwa mara ya kwanza nakuona unajifariji Mtani. Bado jumamosi.
Niko Barca
Saaaafi 👏👏
Naanzaje wakati najua ushindi upo.Ila nakuomba j/mosi panapo majaaliwa usije ukawakana As Vita ukawaita wacheza shoo
Sent using Jamii Forums mobile app
Uuwiiii!
Na j/mosi Nataman Waziri Mkuu Awepo Aone Lunyasi Wanavyotandaza soka SafiNaanzaje wakati najua ushindi upo.
Kama Rais wa Nchi tu mlimtia aibu. Sasa akiwepo Prime Minister unadhani itakuwaje?Na j/mosi Nataman Waziri Mkuu Awepo Aone Lunyasi Wanavyotandaza soka Safi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila kiongozi Na kismati chakeKama Rais wa Nchi tu mlimtia aibu. Sasa akiwepo Prime Minister unadhani itakuwaje?
Ooh. sawa
Wakati uliopita kutofautiana na wakati uliopo kawaida sana,matarajio kwenda tofauti na uhalisia ni sehemu ya maishawacha wee
Thithi ithi thimba banaaaaaa, naona munaanza kuchagua upande wa die mapemaaaaaa,.Na j/mosi Nataman Waziri Mkuu Awepo Aone Lunyasi Wanavyotandaza soka Safi
Sent using Jamii Forums mobile app