Endeleaaa
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 1,485
- 739
kama hayo matokeo ya Invisible yana ukweli sasa tuelezwe hayo CHADEMA wanayosema yalikuwa yamebadilishwa ni ya vituo gani? na je waliosaini hayo yasiotambuliwa na CHADEMA ni nani? ni hao hao walio saini yanayotambuliwa au nao CHADEMA wanarushiana changa za macho wenyewe kwa wenyewe?
Tunahitaji maelezo ya kina kwa hao wakuu wa CHADEMA. Kimsingi ninahisi humo ndani ya CHADEMA kuna watu mamluki wanaosaidia kufanikisha hujuma hizi za kisiasa. Kwakweli Upinzani usipolipatia ufumbuzi tatizo hili ama kwa hakika hawata kaa washinde changuzi zenye changamoto kama hizi na bahati mbaya sana hakuna jimbo lililo rahisi kushinda zaidi ya hayo mawili ya karatu, tarime na kigoma kaskazini ambayo nayo tushaanza kusikia vitisho kuwa hata hayo 2010 yanaweza kuchukuliwa vile vile.
Kwa kweli kazi ya ziada inahitajika.
Kibaya kingine watanzania wakishapiga kura huwa hawana mpango na matokeo. hilo wanawaachia wanasiasa waumane wenyewe kwa hiyo hata tukidhulumiwa we dont care na ndo maana turnover ya wapiga kura inazidi kushuka siku hadi siku.
Kwa kweli mabadiliko yahitaji uvumilimu na bidii ikiambatana na umakini kwa kila kinachotokea kwenye zoezi la upigaji kura.
Tunahitaji maelezo ya kina kwa hao wakuu wa CHADEMA. Kimsingi ninahisi humo ndani ya CHADEMA kuna watu mamluki wanaosaidia kufanikisha hujuma hizi za kisiasa. Kwakweli Upinzani usipolipatia ufumbuzi tatizo hili ama kwa hakika hawata kaa washinde changuzi zenye changamoto kama hizi na bahati mbaya sana hakuna jimbo lililo rahisi kushinda zaidi ya hayo mawili ya karatu, tarime na kigoma kaskazini ambayo nayo tushaanza kusikia vitisho kuwa hata hayo 2010 yanaweza kuchukuliwa vile vile.
Kwa kweli kazi ya ziada inahitajika.
Kibaya kingine watanzania wakishapiga kura huwa hawana mpango na matokeo. hilo wanawaachia wanasiasa waumane wenyewe kwa hiyo hata tukidhulumiwa we dont care na ndo maana turnover ya wapiga kura inazidi kushuka siku hadi siku.
Kwa kweli mabadiliko yahitaji uvumilimu na bidii ikiambatana na umakini kwa kila kinachotokea kwenye zoezi la upigaji kura.