Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,480
- 4,775
Ni kweli mkuu,CHADEMA wanahitaji pongezi sana kwani kwa kipindi kifupi wameonesha wana mikakati madhubuti sana ya kukifanya chama chao kiwe chenye nguvu na kuwa tishio kwa CCM,cha msingi wasibweteke na mafanikio haya,wajiimarishe zaidi(hasa vijijini maana matokeo ya chaguzi za karibuni yaonesha wanashinda sana mijini kuliko vijijini),wawe na mikakati ya muda mrefu...wasije wakapata anguko kama lile la CUF ambao kimsingi kwa sasa WAMEFULIATrue, du... kazi ipo, yaani mwili unatetetetemeka sassaaasasa hiiiiviii... siiiieelewi...
Pamoja na yote bado naipongeza CHADEMA!!!
Ni kweli mkuu,CHADEMA wanahitaji pongezi sana kwani kwa kipindi kifupi wameonesha wana mikakati madhubuti sana ya kukifanya chama chao kiwe chenye nguvu na kuwa tishio kwa CCM,cha msingi wasibweteke na mafanikio haya,wajiimarishe zaidi(hasa vijijini maana matokeo ya chaguzi za karibuni yaonesha wanashinda sana mijini kuliko vijijini),wawe na mikakati ya muda mrefu...wasije wakapata anguko kama lile la CUF ambao kimsingi kwa sasa WAMEFULIA
Habari ndo hiyo..Mtaji wa CCM siku zote uko vijijini.Swali la msingi ujiulize je CHADEMA wana mtandao wa kuanzia kwenye Mashina,Matawi,kata,Wilaya,Mkoa na Taifa kama ilivyo kwa CCM?,vipi kamaw angejiimarisha kuanzia shinani si wangekuwa tishio kwa CCM kuliko sasa??,bado hawajachelewa,muda wanao wa kutoshamhhh........
Habari ndo hiyo..Mtaji wa CCM siku zote uko vijijini.Swali la msingi ujiulize je CHADEMA wana mtandao wa kuanzia kwenye Mashina,Matawi,kata,Wilaya,Mkoa na Taifa kama ilivyo kwa CCM?,vipi kamaw angejiimarisha kuanzia shinani si wangekuwa tishio kwa CCM kuliko sasa??,bado hawajachelewa,muda wanao wa kutosha
Ni kweli mkuu,CHADEMA wanahitaji pongezi sana kwani kwa kipindi kifupi wameonesha wana mikakati madhubuti sana ya kukifanya chama chao kiwe chenye nguvu na kuwa tishio kwa CCM,cha msingi wasibweteke na mafanikio haya,wajiimarishe zaidi(hasa vijijini maana matokeo ya chaguzi za karibuni yaonesha wanashinda sana mijini kuliko vijijini),wawe na mikakati ya muda mrefu...wasije wakapata anguko kama lile la CUF ambao kimsingi kwa sasa WAMEFULIA
hata vijijini wanashinda hiyo ni janja ya ccm
eti biharamulo ni mjini, ccm wanashinda ndani ya vijiji???
walisema majimbo ya vijijini ccm ndio wanashinda, biharamulo ni jimbo la kijijini, walipofika jimbo la kijijini wanasema wao wanashinda ndani ya vijiji na sio wilayani, chadema wakifika vijijini ccm watatuambia wanashinda kwenye kata, wakifika kwenye kata tutaambiwa kwenye vitongoji, wakifika kwenye vitongoji tutaambiwa mitaa, wakifika kwenye mitaa tutaambiwa kwenye kona
semilong Pamoja nakusononeka sana leo jinsi CCm wanavyodhoofisha demokrasia,ukweli ni haya uliyosema wakitoka kwenye kona watasema chumbani au kisimani au mtoni ,Tanzania nchi yetu tunayoipenda sana imewekwa rehani na majambazi wezi wa kura CCM,tumwombe sana Munhu kuwe na amani hata kwa miaka miwili tuu ijayo wanaashiria shali,kama bloger mwingine alivyosema hakuna kifaru,wala bunduki wala grenade lakuua watu milioni 38-40hata vijijini wanashinda hiyo ni janja ya ccm
eti biharamulo ni mjini, ccm wanashinda ndani ya vijiji???
walisema majimbo ya vijijini ccm ndio wanashinda, biharamulo ni jimbo la kijijini, chadema walipofika jimbo la kijijini ccm wanasema wao wanashinda ndani ya vijiji na sio wilayani, chadema wakifika vijijini ccm watatuambia wanashinda kwenye kata, wakifika kwenye kata tutaambiwa kwenye vitongoji, wakifika kwenye vitongoji tutaambiwa mitaa, wakifika kwenye mitaa tutaambiwa kwenye kona
Masatu una hakika? soma Tanzania Daima la LEO.Chanzo CCM wameshinda Biharamulo! haya sasa zimeni chereko chereko zenu mrudi kwenye nyimbo zenu za kawaida mmeibiwa!
The one who laughs last, laughs the best!
semilong Pamoja nakusononeka sana leo jinsi CCm wanavyodhoofisha demokrasia,ukweli ni haya uliyosema wakitoka kwenye kona watasema chumbani au kisimani au mtoni ,Tanzania nchi yetu tunayoipenda sana imewekwa rehani na majambazi wezi wa kura CCM,tumwombe sana Munhu kuwe na amani hata kwa miaka miwili tuu ijayo wanaashiria shali,kama bloger mwingine alivyosema hakuna kifaru,wala bunduki wala grenade lakuua watu milioni 38-40
C'mon mkuu,hope hujanielewa kabisa,CHADEMA kuongoza halmashauri Tarime kusiwafanye wabweteke hata kidogo...Cha msingi kama wana nia ya dhati kabisa ya kuwa chama mbadala(kama wanavyojiita)wajiimarishe/wajitangaze Tanzania nzima(mpaka visiwani) kama ilivyo kwa chama tawala-CCM...Wajiimarishe kuanzia ngazi ya shina(Tanzania nzima).....kuhusu unafiki kabla hujawahukumu wengine kwa kuwaita wanafiki jiangalie wewe kwanza mkuuInategemea unaongelea vijiji gani ...... Chadema ina mitandao hadi vijijini (mfano - Tarime ambako chadema inaongoza halmashauri). Chadema kwa sasa labda (msisitizo kwenye labda) inahitaji wananchi ngangari kama wa Tarime ambao walisimama kidete kuhakikisha kuwa msimamizi wa uchaguzi habadilishi matokeo ya uchaguzi.
Mengine yote ni ...... well .... haishangazi maana miafrika mingi ni minafiki na ndivyo ilivyo.
CCM yaibuka kidedea Biharamulo Magharibi; Chadema walalamika
Ligi za nini wakuu,mimi nimetoa ushauri tu jamani,kwamba kama CHADEMA wanataka kuwa chama mbadala wanapaswa wajiimarishe kwa kuwa na mtandao unaoanzia katika ngazi ya shina na wajisambaze Tanzania nzima(katika kila kijiji) kama ilivyo kwa CCM ambayo ina mtandao Tanzania nzima unaoanzia ngazi ya Shina,Tawi,Kata,Wilaya,Mkoa hadi Taifa,Hapo ndo watatoa upinzani wa nguvu hasa,pia wawe na mipango ya muda mrefu yenye mwelekeo wa ushindi badala ya kutegema chaguzi ndogo tu(maana hata CCM nao sasa hivi washaona hali ilivyo so wanafanya maandalizi ya nguvu hasa kukabiliana na hao CHADEMA)...Huu ni mtizamo wangu tu mkuu...pa1hata vijijini wanashinda hiyo ni janja ya ccm
eti biharamulo ni mjini, ccm wanashinda ndani ya vijiji???
walisema majimbo ya vijijini ccm ndio wanashinda, biharamulo ni jimbo la kijijini, chadema walipofika jimbo la kijijini ccm wanasema wao wanashinda ndani ya vijiji na sio wilayani, chadema wakifika vijijini ccm watatuambia wanashinda kwenye kata, wakifika kwenye kata tutaambiwa kwenye vitongoji, wakifika kwenye vitongoji tutaambiwa mitaa, wakifika kwenye mitaa tutaambiwa kwenye kona
oh well.. We have been here before.. And we are going to be here again. The circle of illusion keep on spinning.. What was, is still is and will surely be..