Josh Michael
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,523
- 87
Sijaona Comments zako mzee wangu mwanakijiji..!! Nahitaji uchambuzi wa kina kuhusu matokeo haya na kwa ajili ya uchaguzi ujao na maana yake nini kwa Taifa na Current affairs za siasa tanzaniaOh well.. we have been here before.. and we are going to be here again. The circle of illusion keep on spinning.. What was, is still is and will surely be..
Kuhesabu kura upya ndo ulikuwa mtego na kosa la kiufundi.Chadema wasema CCM wamefulia
CCM wataka kura zihesabiwe upyaa
Wafuasi wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika jimbo la Biharamulo mkoani Kagera, usiku wa kuamkia leo hawakulala…wamekesha mitaani wakicheza na kuimba baada ya kuelezwa na viongozi wao kwamba, piga ua galagaza chama chao kimeshashinda uchaguzi huo mdogo.
CCM wamefulia…CCM wamefulia, yalikuwa ni baadhi ya maneno waliyokuwa wakitamka kwenye nyimbo zao za shangwe. Wakati Chadema wakishangilia ushindi, zoezi la kuhesabu kura limelazimika kurudiwa upya baada ya kutokea mkanganyiko.
Ulazima wa kurudia zoezi la kuhesabu kura ulitokana na kila chama, Chadema na CCM kudai kwamba kimenyakua kiti hicho cha ubunge katika uchaguzi huo mdogo uliofanyika jana.
Kwa mujibu wa Chadema, mgombea wao, Dk. Antony Mbassa ameshinda baada ya kupata kura 17,313. Chadema wanadai mgombea wa CCM, Oscar Mukasa amepata kura 16,882.
CCM, kwa upande wao wanadai kuwa mgombea wao ndiye aliyepata kura 17,313 na wa Chadema akapata kura 16,886 na hivyo mgombea wao ndiye kashinda.
Kutokana na mkanganyiko huo kura zililazimika kuhesabiwa upya. Leo asubuhi wafuasi wa chama cha Chadema walidamkia kwenye ofisi za Halmashauri ya Wilaya huku wakiimba nyimbo zao zile zile za CCM wamefulia.
Wafuasi wa CCM waliokuwa wamevalia sare za chama chao na kofia, walijikusanya katika ofisi yao iliyopo katika ofisi za Halmashauri hiyo. Nao walikuwa wakiimba nyimbo mbalimbali ukiwemo ule maarufu wa "Wembe ni ule ule ushindi…wembe ni ule ule ushindi". Askari wa kikosi cha kutuliza ghasia, FFU, waliokadiriwa kufikia 200 walionekana wakivinjari katika viunga vya Halmashari hiyo.
Hata hivyo hadi tunakwenda mitamboni zoezi la kuhesabu upya kura lilikuwa bado linaendelea.
CHANZO: ALASIRI
Wizi Mtupu na Wizi wa Kishetani na mazingaombwe.Habari hii inaleta mwanga kidogo juu ya yaliyojiri huko Biharamuro
Kuhesabu kura upya ndo ulikuwa mtego na kosa la kiufundi.
Sijaona Comments zako mzee wangu mwanakijiji..!! Nahitaji uchambuzi wa kina kuhusu matokeo haya na kwa ajili ya uchaguzi ujao na maana yake nini kwa Taifa na Current affairs za siasa tanzania
Mimi kama ni Mwalimu wako nakupa GPA 4:9 hivi maana nimerejea comments zako na uliwahi kumbe kusema na kueleza mambo haya ni Kweli Kaka!! kazi unayofanya ni nzuri sana Mzee wangul Labda twende zetu kijijini kwetu na nitakupa jembe la pili ili tuweze kushinda chaguzi za mazigaombwe kama hizi ndogondogo za Tanzania. Nimekubali japo am very sad manMbona maoni yangu niliyatoa kabla ya Chadema kwenda Biharamulo. I still stand by them.
Kwa hiyo unabaki kwenye msimamo huo huo hata kama ndio matokeo yako hivyo??Mimi kama ni Mwalimu wako nakupa GPA 4:9 hivi maana nimerejea comments zako na uliwahi kumbe kusema na kueleza mambo haya ni Kweli Kaka!! kazi unayofanya ni nzuri sana Mzee wangul Labda twende zetu kijijini kwetu na nitakupa jembe la pili ili tuweze kushinda chaguzi za mazigaombwe kama hizi ndogondogo za Tanzania. Nimekubali japo am very sad man
Umesomeka mkuu?,lakini why kila siku kelele za wizi wa kura tu?,na ni kwa nini kila siku CCM ikishinda wanaambiwa wameiba kura???,ni mbinu zipi hizo zinatumika kuiba kura?(kama vp zianikwe hapa ili zipatikane njia za ku counter huo wizi wa kura) apart from kuwa na free and faie NEC,maana tangu 1995 malalamiko ya wizi wa kura hayaishi na mara nyingi mlengwa wa malalamiko haya ni CCM tu...What if CHADEMA wangeshinda(kama ilivyokuwa TARIME) kungekuwa na maalalamiko ya Wizi wa kura....Solution ni moja tu nayo ni..........NECBalantanda; Umenena wasibweteke; ni kweli lakini mpaka lini kamatume ni ile ile? kimsingi huu wizi mbaya sana; unamuibia haki mwananchi ambaye unatakiwa kumuongoza; unaanza kwanza kumuibia then ndio unamtawala; this is very interesting;
Binti Maria Nyerere Naungana na wewe; inabidi kukenyalize politics zetu; chadema they are very soft; ofcourse wanataka amani iliyopo wasiwe chanzo chao ila sasa hili linaanza kuvuka mipaka; unamuibia mwananchi kwanza then unamtawala; sijui ni philosophy gani hii ndani ya CCM; i hope wananchi wataamua;
Chadema nyie ni chama cha umma si chenu; wananchi wengi kule wamepiga kura hata hamuawajui; kuweni wastahimilivu; sera ndio nguzo ya kutawala; endelezeni mapambano ili muweze kushinda kwa amani ( CCM wanawatafutia sababu ya kuvunja amani ili wawavunjilie mbali kwa m abavu); wananchi ndio watawafukuza CCM; na hawatakuwa na jinsi; fungueni matawi; account; m-diclare interest zenu k wa jamii kuwa ni chama chao na si cha viongozi; chaguaneni kwa usawa na amani ktk uchaguzi wenu wa ndani (Mbowe kazi yako nimeiona in 4yrs si chadema ya makani wala mtei tena-Big up)
Wajumbe wengine
Tuwaunge mkono chadema; kinafanya kazi ktk mazingiza magumu; tukiwezeshe; naoomba ikiwezekana hata visenti vidogo vyetu vya mhogo na kachumbali tuwape kidogo; waende vijijini; mmeona B'Mulo. Waweke wazi hiki ni chama cha watu na sasa kitoe account zao ili watu waweke walau kidogo; mapinduzi huletwa na rais si vyama na rais ni sisi; wizi huu una muda wake; itafika utakwama na watapata aibu za maisha
Poa bwana mzee habari ndio hiyoUmesomeka mkuu?,lakini why kila siku kelele za wizi wa kura tu?,na ni kwa nini kila siku CCM ikishinda wanaambiwa wameiba kura???,ni mbinu zipi hizo zinatumika kuiba kura?(kama vp zianikwe hapa ili zipatikane njia za ku counter huo wizi wa kura) apart from kuwa na free and faie NEC,maana tangu 1995 malalamiko ya wizi wa kura hayaishi na mara nyingi mlengwa wa malalamiko haya ni CCM tu...What if CHADEMA wangeshinda(kama ilivyokuwa TARIME) kungekuwa na maalalamiko ya Wizi wa kura....Solution ni moja tu nayo ni..........NEC
Kazi ipo kubwa sana, maana unapotaka kushindana na watu wanaotumia njia za Kishetani kushinda lazima uhai wa watu kutolewa hata kupotza maisha. Ndiyo itatuchukua muda sana katika kujenga hata CCM kukubali kuwa tupo katika ushindani na mwenye kushinda achiwe na ushindi wake!! Kasoro NEC ya Makame na wizi wa kuraMukasa keshatangazwa mshindi. Hakuna sababu ya watu kuumia sana au kuwa na anza na hisia ya kuona kuonewa. Japo kuwa hisia hizo zina msingi uhalisia unatulazimisha kukubali kuwa njia ya kuelekea demokrasia haiwezi kuwa mteremko hivyo.
Teh teh..you might be one of them...lolInaonekana hii forum ya great thinkers imejaa ARMCHAIR politicians,ambao wako cut off na really events on the ground,what else can explain CCM kushindwa biharamulo humu jamvini wakati results ni opposite,democracy tanzania inasuasua cause we dwell too much on WISHFULL thinking
Inasikitisha sana Ndugu zangu Watanzania. Hii inaonesha kuwa viongozi wetu hawana mtazamo wa kuona mbali. Suala la kuiba Kura, sio endelevu na matokeo yake ni kuuingiza nchi kwenye vurugu kama ilivyotokea kwa majirani wetu wa Kenya.
Kukua kwa Technolojia ya mawasiliano kuna rahisisha mawasiliano kwa sababu sehemu nyingi za Tanzania zina mtandao wa simu za mkononi na pia unaweza ukaunganishwa kwenye internet. Hivi ndivyo matokeo ya Biharamulo yalivyopatikana na mashahidi waliokwepo kwenye vituo wamethibitisha ushindi wa CHADEMA!! Je, Tunaelekea wapi? Madaraka yamegeuzwa 'Club' ya watu wachache ambao hawataki wengine waingie. Niaminivyo mimi nikuwa Tanzania inabadilika, na Mbinu za CCM hazina muda mrefu!!!2010 ndo mwanzo wa mwisho wao.Tuombe uzima!!!
Kazi ipo kubwa sana, maana unapotaka kushindana na watu wanaotumia njia za Kishetani kushinda lazima uhai wa watu kutolewa hata kupotza maisha. Ndiyo itatuchukua muda sana katika kujenga hata CCM kukubali kuwa tupo katika ushindani na mwenye kushinda achiwe na ushindi wake!! Kasoro NEC ya Makame na wizi wa kura
Well said mkuu..Ni kitu cha kushangaza sana kuifananisha Kenya na Tanzania...Eti DAMU inwagike kisa CCM imeshinda!!!,tobaaaa...Cha msingi CHADEMA wakubali tu kushindwa na waanze kujiandaa kwa uchaguzi wa mwakani badala ya kukaa na kuanza kujadili mambo ya faulo na mawazo haya MACHAFU ya kumwaga damu...Ukute hata huyo anayetoa mawazo ya kumwaga damu hayupo TZ wala Biharamuro na haijui Biharamuro bali anatoa mawazo hayo kwa kupitia michango(posts) inayotolewa hapa JF..Ni Mtazamo wangu tu jamaniHakuna atakeyamwaga Damu sababu ya chadema ,hizo ni fikra mfu hazitopata kutokea.Nijuavyo mie asilimia kubwa ya WTZ sio wanachama wa chama chochote wao hupiga kura kulingana na upepo wa mgombea hawana itikadi zozote zitakazo wawezesha kubeba mapanga.
Usifananishe yaliyotokea kenya kuja kutokea TZ,na hata hivyo hizo ni hasira zako tu baada ya kupigwa chini,Sisi hatuna siasa za chuki nenda leo B'mulo utakuta wote wanakula mpunga tu pamoja.