Ngisibara
JF-Expert Member
- Jan 2, 2009
- 3,387
- 2,245
Mkuu najiuliza kama mimi ningekuwa CCM ningefanya nini. Nisingekubali kushindwa, lazima nigefanya kila ninaloweza nisiabike hasa katika kipindi kama hiki ninapokuwa na kashfa. Na ukiangalia hesabu wa tofauti ya kura inaruhusu kucheza rafu hiyo. Kama Jeshi ni lako, polisi ni wako, usalama ni wako na above all tumeya uchaguzi ni yako, kwanini usifanye ujanja? Tujaribu kujiweka kwenye nafasi ya CCM ili tuweze kuona kwa nini wanafanya wanachofanya, kama kweli wamefanya hivyo.
Mchakamchaka.....chinja...mchakamchaka.....chinja akija mcc....chinja akija kamba....chinja akija mchela......chinja.................
Ohhhh ishakuwa taabu Ruandis is at corner, just timeframe!