Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,258
https://www.facebook.com/video.php?v=947174105411801
Napongeza wachezaji mashabiki wanachama na wanazi wa timu zote mbili kwa mechi ya leo na kushukuru kwamba hakukua na maafa makubwa, Kipekee niwapongeze sana simba kwa kupigana hadi dk ya mwisho na Blagnon kweli amewakosa goli lawazi kabisa la ushindi tena kizembe kwa kuamini katika woga na kumtegemea mwamuzi
Licha ya kuwepo na changamoto kwenye mchezo wa Yanga vs Simba wa October 1 bado kuna wachezaji walionesha uungwana ndani ya dakika 90 huku makocha pia wakiwa mfano katika hilo.
Masuala ya Refa na kadi tuyaache kama kwamba yamepita kwani maamuzi yake hayabadiliki na yeye ni Binadamu, kuona mpira umeshikwa au la si kazi rahisi sana kwa watu 3 kati ya 22 uwanjani na off side ni moja ya sheria ngumu sana katika mchezo wa soka.
Naangalia mahali aliposimama refa na tukio la mpira kushikwa ................na hata iweje ile high ball ya Twite kuiwahi hadi alipokua Tambwe labda uwe na mabawa na wewe......na rahisi kuthibitisha kwa kuangalia marudio ya video, japo pia mwamuzi msaidizi alitakiwa kuliona lile tukio lakini pia ni kama alipewa mgongo na Tambwe
Ima ni refa mzembe tu atakuachia umsukumesukume na matusi juu na akuachie tu bila ya kukupa kadi
Nalaani sana fujo zilizofanywa na washabiki wa simba kung'oa ili kesho waje wadai HAKUNA viti, huu unaweza kuufananisha na utashi nje ya mwanadamu kwani si akili ya kawaida sana HII, pamoja na kugubikwa na jazba lakini NI UJINGA TU KUAMINI KWAMBA KUVUNJA VITI KUTAPOZA JAZBA YAKO
Nikiwa nasubiri kwa hamu mapato ya mecho ya leo kwa kutumia teknolojia, bado nina wasiwasi na kugubikwa kwa hujuma, kwamba zoezi limtewaliwa na vitimbi vya ugumu wa kupatikana kwa tiketi ili 'isije kuonekana jinsi wajanja wanavyopiga kwenye hizi mechi'
Matokeo ya leo yamekuwa muhimu sana kwa Simba, nilikua nikiwaambia watu kwamba kwa msimu uliopita simba alikua na matokeo kama haya na hata wakajiamini kiasi cha Kiiza Kuonesha kwamba bado muda tu, lakini tukumbuke jinsi ambavyo baada ya kipigo, Simba ilisambaratika, so kipigo cha leo huenda kingetutoa kwenye RELI kabisa,
Hii maana yake ni kwamba kwa pengo la pointi sita na kwa mtiririko wa matokeo kwa Simba licha ya kudumisha mshikamano miongoni mwa wachezaji, pia unachchea morali wa kufanya vizuri zaidi na kutafutwa kuungwa mkono na washabiki
KWA UPANDE WA YANGA...........ZITAFAKARINI NJIA ZENU.....ILA NIMEMKUBALI SANA DANTE NI EXIT STRATEGY NZURI SANA KWA UKUTA WA YANGA KWANI NAIONA NYOTA YA KIJANI KWA MABEKI NGULI
Ila dhahiri shari, kiuongo kinahitaji marekebisho makubwa, hakuna uelewani kabisa na hivyo kuifanya safu ya ushambulizi kushuka kuchukua mipira, na tatizo hili nililiona tangu mechi ya Stand United
Simba ikiwa pungufu imeizidi Yanga kwa kumiliki mpira na mbaya na hii ilikua inajidhihirisha kwa mwenendo wa mechi kwani Yanga iliyokua inaongoza kumiliki iliendelea kupungua kadri ya mchezo ULIVYOYOYOMA na hatimaye kuzidiwa kabisa mwishoni mwa mchezo dhahiri kuonesha kwamba Timu inachoka ......zaidi kuonesha kwamba YANGA dhaifu ni idadi ya rafu walizocheza mara mbili zaidi ya simba (22/12) na Kadi TATU ZA NJANO dhidi ya moja ya Simba huku Simba ikipiga mashuti mengi na kona nyingi zaidi ya YANGA....
Napongeza wachezaji mashabiki wanachama na wanazi wa timu zote mbili kwa mechi ya leo na kushukuru kwamba hakukua na maafa makubwa, Kipekee niwapongeze sana simba kwa kupigana hadi dk ya mwisho na Blagnon kweli amewakosa goli lawazi kabisa la ushindi tena kizembe kwa kuamini katika woga na kumtegemea mwamuzi
Licha ya kuwepo na changamoto kwenye mchezo wa Yanga vs Simba wa October 1 bado kuna wachezaji walionesha uungwana ndani ya dakika 90 huku makocha pia wakiwa mfano katika hilo.
Masuala ya Refa na kadi tuyaache kama kwamba yamepita kwani maamuzi yake hayabadiliki na yeye ni Binadamu, kuona mpira umeshikwa au la si kazi rahisi sana kwa watu 3 kati ya 22 uwanjani na off side ni moja ya sheria ngumu sana katika mchezo wa soka.
Naangalia mahali aliposimama refa na tukio la mpira kushikwa ................na hata iweje ile high ball ya Twite kuiwahi hadi alipokua Tambwe labda uwe na mabawa na wewe......na rahisi kuthibitisha kwa kuangalia marudio ya video, japo pia mwamuzi msaidizi alitakiwa kuliona lile tukio lakini pia ni kama alipewa mgongo na Tambwe
Ima ni refa mzembe tu atakuachia umsukumesukume na matusi juu na akuachie tu bila ya kukupa kadi
Nalaani sana fujo zilizofanywa na washabiki wa simba kung'oa ili kesho waje wadai HAKUNA viti, huu unaweza kuufananisha na utashi nje ya mwanadamu kwani si akili ya kawaida sana HII, pamoja na kugubikwa na jazba lakini NI UJINGA TU KUAMINI KWAMBA KUVUNJA VITI KUTAPOZA JAZBA YAKO
Nikiwa nasubiri kwa hamu mapato ya mecho ya leo kwa kutumia teknolojia, bado nina wasiwasi na kugubikwa kwa hujuma, kwamba zoezi limtewaliwa na vitimbi vya ugumu wa kupatikana kwa tiketi ili 'isije kuonekana jinsi wajanja wanavyopiga kwenye hizi mechi'
Matokeo ya leo yamekuwa muhimu sana kwa Simba, nilikua nikiwaambia watu kwamba kwa msimu uliopita simba alikua na matokeo kama haya na hata wakajiamini kiasi cha Kiiza Kuonesha kwamba bado muda tu, lakini tukumbuke jinsi ambavyo baada ya kipigo, Simba ilisambaratika, so kipigo cha leo huenda kingetutoa kwenye RELI kabisa,
Hii maana yake ni kwamba kwa pengo la pointi sita na kwa mtiririko wa matokeo kwa Simba licha ya kudumisha mshikamano miongoni mwa wachezaji, pia unachchea morali wa kufanya vizuri zaidi na kutafutwa kuungwa mkono na washabiki
KWA UPANDE WA YANGA...........ZITAFAKARINI NJIA ZENU.....ILA NIMEMKUBALI SANA DANTE NI EXIT STRATEGY NZURI SANA KWA UKUTA WA YANGA KWANI NAIONA NYOTA YA KIJANI KWA MABEKI NGULI
Ila dhahiri shari, kiuongo kinahitaji marekebisho makubwa, hakuna uelewani kabisa na hivyo kuifanya safu ya ushambulizi kushuka kuchukua mipira, na tatizo hili nililiona tangu mechi ya Stand United
Simba ikiwa pungufu imeizidi Yanga kwa kumiliki mpira na mbaya na hii ilikua inajidhihirisha kwa mwenendo wa mechi kwani Yanga iliyokua inaongoza kumiliki iliendelea kupungua kadri ya mchezo ULIVYOYOYOMA na hatimaye kuzidiwa kabisa mwishoni mwa mchezo dhahiri kuonesha kwamba Timu inachoka ......zaidi kuonesha kwamba YANGA dhaifu ni idadi ya rafu walizocheza mara mbili zaidi ya simba (22/12) na Kadi TATU ZA NJANO dhidi ya moja ya Simba huku Simba ikipiga mashuti mengi na kona nyingi zaidi ya YANGA....