Brightman Jr
JF-Expert Member
- Mar 22, 2009
- 1,224
- 234
Taarifa ya habari toka TBC Taifa ya saa tano usiku wa jana imemnukuu naibu waziri wa elimu kuwa matokeo rasmi ya darasa la saba ya mwaka huu (2011) huenda yakatangazwa leo muda wowote. Taarifa hiyo imemnukuu waziri huyo akiwataka watu waliopata taarifa kuwa matokeo yalisha tangazwa kuzipuuza taarifa hizo kwani mpaka sasa matokeo bado hayajatangazwa. Jamani tukae tayari kusikia mavuno ya watoto wetu.
Mie wakwangu nishamchukulia fomu St. Francis, hizo za kata mhm?
Mie wakwangu nishamchukulia fomu St. Francis, hizo za kata mhm?
Hata kama hajafaulu mkuu.
Mpende jirani yako kama unavyojipenda wewe. Mtoto wa mwenzio ni wako. Wakatabahu!!!!!!!
absolutely...
Hivi kumbe kuna mtihani wa darasa la saba. Mi nilijua ni kama mtihani wa fomu tu. Mtoto anafanya mtihani wa gelesha tu, afaulu ama asifaulu anasonga mbele.
Unaandaa kilaza wa baadae??
acha ubwege weweMambo tayari toka saa 10:00jioni hii. Ufaulu wapanda kwa 4.7%. Endelea kufuatilia zaidi ndani ya mtandao huu wa Jf. Source LittleX
acha ubwege wewe