BUMIJA JF-Expert Member Joined Oct 19, 2011 Posts 5,950 Reaction score 11,295 Mar 2, 2013 #1 Jana katika malumbano ya hoja ITV nilidaka Point kuwa,japo form6 wamefanya mitihani yao ila mtaala ulibadilishwa na walimu hawakua na semina,je matokeo yakiwa kama form4,TCU Watapata wapi wadahiliwa,au mambo ya East Africa Community.
Jana katika malumbano ya hoja ITV nilidaka Point kuwa,japo form6 wamefanya mitihani yao ila mtaala ulibadilishwa na walimu hawakua na semina,je matokeo yakiwa kama form4,TCU Watapata wapi wadahiliwa,au mambo ya East Africa Community.
BUMIJA JF-Expert Member Joined Oct 19, 2011 Posts 5,950 Reaction score 11,295 Mar 2, 2013 Thread starter #4 Form6mtu akipiga4aweza pata College??