Jana katika malumbano ya hoja ITV nilidaka Point kuwa,japo form6 wamefanya mitihani yao ila mtaala ulibadilishwa na walimu hawakua na semina,je matokeo yakiwa kama form4,TCU Watapata wapi wadahiliwa,au mambo ya East Africa Community.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.