Halafu magoli yote ya kiufundi...Rooney amefanya yake, kafunga moja tayari na imejibiwa tuendelee kutumaini jameni maana duh. Naitazama mubashara kwenye EATV.
Japo Gor wamepoteza nafasi nyingi sana aisei, hadi wananipa pressure hawa.
Nimejifunza kitu leo.....Rooney amefanya yake, kafunga moja tayari na imejibiwa tuendelee kutumaini jameni maana duh. Naitazama mubashara kwenye EATV.
Japo Gor wamepoteza nafasi nyingi sana aisei, hadi wananipa pressure hawa.
Halafu naskia Everton wamekuja na nyasi yao....
Haha, wamekujanayo mfukoni? Mbona na sisi tunasikia Gor mahia wamezika kitu golini? [emoji23]Halafu naskia Everton wamekuja na nyasi yao....