MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Rooney amefanya yake, kafunga moja tayari na imejibiwa tuendelee kutumaini jameni maana duh. Naitazama mubashara kwenye EATV.
Japo Gor wamepoteza nafasi nyingi sana aisei, hadi wananipa pressure hawa.
Update:
Dakika zote 90
Gor 1 : Everton 2
Safi sana Gor Mahia, mumekaba penyewe lakini ndio hivyo...
Japo Gor wamepoteza nafasi nyingi sana aisei, hadi wananipa pressure hawa.
Update:
Dakika zote 90
Gor 1 : Everton 2
Safi sana Gor Mahia, mumekaba penyewe lakini ndio hivyo...