TUyiisenge atatufaa sana apa kwetugoli la Tuyisenge ni balaa
[emoji23][emoji23]Haha, wamekujanayo mfukoni? Mbona na sisi tunasikia Gor mahia wamezika kitu golini? [emoji23]
Hii pitch ni awesome! It's ranked among the most expensive stadium in Africa!Gor juu...Tanzania pia pitch yao imekua sawa
sent from iPhone 7
True, sikutegemea kama gor mahia watatoa upinzani wa namna ile! Hakika walistahili kucheza match hii!hongera Gor Mahia...mechi ya kusisimua kwel kwel...EA tunapaa...
At least nimekutana na mkenya mmoja anae play fair..wengine ma cruu tuuGor juu...Tanzania pia pitch yao imekua sawa
sent from iPhone 7
Mtu kama huyu alionekana popote hapo uwanjani?Haha, wamekujanayo mfukoni? Mbona na sisi tunasikia Gor mahia wamezika kitu golini? [emoji23]
Next year wakat sportpesa wanataka kuhamisha ofisi kuja tz wataletaje tim KenyaLakini next year juu sportpesa itachezwa Kenya Gor itanyandua hawa wazungu
sent from iPhone 7
Hizo nguo ukizipanga vyema unapata bendera ya KenyaMtu kama huyu alionekana popote hapo uwanjani?