matokeo kidato cha nne 2011

matokeo kidato cha nne 2011

Jericho Jr.

Member
Joined
Jan 8, 2012
Posts
75
Reaction score
6
jamani naomba kuuliza matokeo ya kidato cha nne 2011 yatatangazwa lini naomba msaada wenu wakubwa
 
Vuta subira, tafuta kazi ya kufanya hata kama kuuza mbogamboga mtaani kwako, itakuweka busy huku ukitafuta ada ya kuanza nayo f.v
 
Usiwe na presha mkuu kwani matokeo hivi soon yatakua on air, hope dat u wil make gud nd perfect, so dont b afraid.
 
Hahahahahaha!haya sasa 2likuwa 2nayalilia matokeo c haya hapa sasa yameshatoka?mbona mpo kmya?
 
Hahahahahaha!haya sasa 2likuwa 2nayalilia matokeo c haya hapa sasa yameshatoka?mbona mpo kmya? NECTA IMETUUMBUA.
 
Hahahahahaha!haya sasa 2likuwa 2nayalilia matokeo c haya hapa sasa yameshatoka?mbona mpo kmya? NECTA IMETUUMBUA.

dottoz acha tu rafki yngu,watu walikuwa prssr juu mara ooh...wametucheleweshea lkn sasa hvi imekuwa n sir ya kila m2! Hyo ndo 2liyangojea mana'ke wngne walthbutu kuwakashfu hata necta,mara cjui lowassa kayanunua matokeo,haya sasa kuangalia pamoja na kuprint sasa jaman tujulishane mavuno hapa waungwana wa JF!
 
Back
Top Bottom