Godian Ngunguti
Senior Member
- Feb 26, 2013
- 115
- 26
Ndio mkuu tuna ya subiria tuone hii season 2 ita kuwaje
worry out Davies,yatakuwa mazuri kama miaka mingine ilivyokuwa
Yap! Kaka ni kumwomba Mungu tu
Wiki hii mkuu ila bado cjajua cku ganiNi kweli yan kila kitu kinawezekana mbel yake afu vip wamesema itakua siku gani au??? then ikisemwa naomba tupeane taarifa mkuu maan si wengi tupo mbali sana na TV.........
Watoe na certificate mbili, ya pili iandikwe refined certificate, wakija a level tuwatambue.
Wiki hii mkuu ila bado cjajua cku gani
wala sio janga la kitaifa kama ulivyokaririshwa,ni janga la wahitimu wenyewe,ukifikiria kwa kina utapata maana yake..
Mi nadhani wamemuongezea kila mtahiniwa marks 20......hainiingii akilini mtihani mwanzo matokeo yalitoka baada ya miezi mi3 lkn kwa ss ni chini ya wiki3.....!!wanataka kutoa matokeo.
Watoe na certificate mbili, ya pili iandikwe refined certificate, wakija a level tuwatambue.
ok sawa amna shida coz nayasubir kwa hamu sanaaaaaaaa....
eeeeeh kaazi kwelikweli, okay! tusubiri one na two za kutosha chezea serikal wewe.
Kwa sisi watoto wetu waliopata one na two toka shule za seminary na S.t... Kama ulisoma shule ya ukata subiri 33 pts au ubuyu. Hata kama wametumia grade za zamani kwa watoto wa shule za ukata na zile za jumuiya ya wazazi usitegemee kitu huko, Kwani huko kuna "elimu"?.
hizo ni za kikwete na timu yake,Tunasubiria one na two zetu