watanyanyapaliwa hawa watoto spati picha,watoe na certificate mbili, ya pili iandikwe refined certificate, wakija a level tuwatambue.
hizo ni za kikwete na timu yake,
Za kwenu zshatoka haya hapa chini
watanyanyapaliwa hawa watoto spati picha,
bora wafunguliwe shule ya kwao peke yao wasikutane na wanafunzi wengine
Wanyanyapaliwe na nani na kwa misngi ipi? Yani nyie msome Alevel kwa C ya 41 alafu mnalazimisha wenzenu wa some Alevel kwa C ya 50! Nyie mna akili au matope na viroba tu yamewajaa kichwani?
Acheni madogo wapate haki zao kazi wivu tu na majungu. ebooooo!!!
natania tu mkubwa pole,Yani nyie msome Alevel kwa C ya 41 alafu mnalazimisha wenzenu wa some Alevel kwa C ya 50! Nyie mna akili au matope na viroba tu yamewajaa kichwani? wivu tu na majungu. ebooooo!!!
Mi nadhani wamemuongezea kila mtahiniwa marks 20......hainiingii akilini mtihani mwanzo matokeo yalitoka baada ya miezi mi3 lkn kwa ss ni chini ya wiki3.....!!wanataka kutoa matokeo.
Dont give up madogo, Mungu atawasaidia na hata waacha mlie tena.
Dah afadhal watangaze one yangu ya points 7
du ebanaee humu ndani kuna haters kinomanoma
natania tu mkubwa pole,
sikujua kuwa ni mdau
sirudii,
pole.
Waseme pia utaratibu wa kurejesha zile hela watoto wamelipia kwa kurudia mitihani. Na wale waliopoteza maisha sijui itakuwaje!!! Ingekuwa nchi za wenzetu wangefungua kesi babu kubwa hapa maana serikali ingelipa fidia kwa wale waliokufa au kupata madhara na matokeo yale. Ila Tanzania hakika kila kitu ni holela tu!!
hahahaaa..........kumbe eeh basi ongera zako
Dah afadhal watangaze one yangu ya points 7
Wanyanyapaliwe na nani na kwa misngi ipi? Yani nyie msome Alevel kwa C ya 41 alafu mnalazimisha wenzenu wa some Alevel kwa C ya 50! Nyie mna akili au matope na viroba tu yamewajaa kichwani?
Acheni madogo wapate haki zao kazi wivu tu na majungu. ebooooo!!!
Wanyanyapaliwe na nani na kwa misngi ipi? Yani nyie msome Alevel kwa C ya 41 alafu mnalazimisha wenzenu wa some Alevel kwa C ya 50! Nyie mna akili au matope na viroba tu yamewajaa kichwani?
Acheni madogo wapate haki zao kazi wivu tu na majungu. ebooooo!!!