wachome vilaza haooo! kwanza walipata c 3 za point 41 zilizo wapa 3 ya point 25 ndo wakaenda a level afu wanajiona ni wakali!!!!! ha! ha! ha! haaaaaa!!!!
Tuache ushabki wala nini,zamani wanafunz tulikua tunasoma kimtindo tofaut na sasahv madogo wamekua vilaza mno,nakumbuka 4mII nilipata wastan wa 59 kwendaIII. 4m4,nkatabiliwa kufaulu na kwel 4m4 nkachomoka,lakn sasahv 4mII hakuna mtihan ndo mana madogo hawaogop,ila kboko yao 4m4.
Tuache ushabki wala nini,zamani wanafunz tulikua tunasoma kimtindo tofaut na sasahv madogo wamekua vilaza mno,nakumbuka 4mII nilipata wastan wa 59 kwendaIII. 4m4,nkatabiliwa kufaulu na kwel 4m4 nkachomoka,lakn sasahv 4mII hakuna mtihan ndo mana madogo hawaogop,ila kboko yao 4m4.
Fedha za rufaa ni non refundable. Hazirudishwi. Hao 20,000 walio appeeal wameshalizwa. Hii ndo bongoland.
Mkuu, hawawezi kurudishiwa hizo fedha kutokana na sheria, kanuni na taratibu za NECTA. Labda wa appeal tena kwa "new grades" zilizotangazwa kama hawataridhishwa na matokeo yatakayotangazwa muda wowote, sema watapaswa kulipia gharama yaa rufaa upya NECTA. Watafanyaje wameshakuwa "wateja" wa hilo "baraza" ?.Kwa kuwa ni uzembe wao inabidi warejeshe mkuu wangu. Vinginevyo watakuwa labelled wezi.
Dah afadhal watangaze one yangu ya points 7
Mkuu Dr.Ntinkutina, hapa niliwalenga wale ambao matokeo yalikuwa ni mabaya na wakalazimika kujiandikisha kama private candidate wana riseat na siyo wale walio appeal mitihani kupitiwa upya. Hakika gharama walizolipa zilitumika kupitia mitihani yao. Hapa nasemea wale private candidate wamelipa wengine 36,500 na kwa penalty kwa 56,500 ila hawajafanya mtihani wa marudio na hela haijatumika kwa lolote mkuu wangu.Mkuu, hawawezi kurudishiwa hizo fedha kutokana na sheria, kanuni na taratibu za NECTA. Labda wa appeal tena kwa "new grades" zilizotangazwa kama hawataridhishwa na matokeo yatakayotangazwa muda wowote, sema watapaswa kulipia gharama yaa rufaa upya NECTA. Watafanyaje wameshakuwa "wateja" wa hilo "baraza" ?.
mkuu weka chanzo au source n ww mwenyewe?Serikali yaahidi kukamilisha na kuyatangaza tena wiki hii. Source tbc habari na uhakika.
watanyanyapaliwa hawa watoto spati picha,
bora wafunguliwe shule ya kwao peke yao wasikutane na wanafunzi wengine
wataonewa huruma fom6 wapewe pepa nyepesihanyanyapaliwi mtu hapa ila watakao pitishwa cha moto form 6
hebu soma tena kichwa cha uzi huo.....Matokeo yanatangazwa lini?
Mkuu, hawawezi kurudishiwa hizo fedha kutokana na sheria, kanuni na taratibu za NECTA. Labda wa appeal tena kwa "new grades" zilizotangazwa kama hawataridhishwa na matokeo yatakayotangazwa muda wowote, sema watapaswa kulipia gharama yaa rufaa upya NECTA. Watafanyaje wameshakuwa "wateja" wa hilo "baraza" ?.