Tuache ushabki wala nini,zamani wanafunz tulikua tunasoma kimtindo tofaut na sasahv madogo wamekua vilaza mno,nakumbuka 4mII nilipata wastan wa 59 kwendaIII. 4m4,nkatabiliwa kufaulu na kwel 4m4 nkachomoka,lakn sasahv 4mII hakuna mtihan ndo mana madogo hawaogop,ila kboko yao 4m4.