Matokeo kidato cha nne 2012 kutangazwa tena wiki hii


zamani watu walikuwa wanasoma sana kwasababu kwanza ukiona mwanafunzi yupo sekondari basi huyo alikuwa kipanga kweli nikiwa ninamaana ili upelekwe sekondari basi kichwani ulikuwa unachemka, vilaza wengi walikuwa hawasomi tofauti na sasa shule ni nyingi hadi vilaza wanafaulu

sababu ni nyingi sana mazingira, walimu wenyewe na mambo chungumzima ndiyo yaliyokuwa yakipelekea wanafunzi wa enzi hizo kufaulu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…