Matokeo Kidato cha Nne 2013 yatangazwa

Matokeo Kidato cha Nne 2013 yatangazwa

Mwalmu Benign Boniface was kigoma sekondary anatafuta mwalimu was iringa , njombe , na mbeya kubadirishana naye.
0755397178
O753124642
 

Unakurupuka eh? Umeona neno "New" na "2014" ukaja huku mbioooo.........

We ni unachezea akili za watu sio? Unazani wote tupo kama wewe, kaoge kwanza ndo uje jamvini, bullshit.

mods futa huu uzi. huyu jamaa mwongo. Invisible Paw Moderator

Pumbaaaaaaaaaa:what::what::what::what::what::what:

wizi mtupu

Kwanza anatakiwa kuwa banned
Wote nimewasamehe bure!
Sio vizuri wakati mwingine kukurupuka kutoa makali kama hayo. Ni vyema kuwa muungwana kama wengine hapo juu waliouliza kuhusu kufunguka kwake.

Maana kama itakuwa mdau akitoa hoja halafu picha/file/folder kwako halifunguki basi utoe lugha isiyo na busara humu jukwaani kwa mwenzako. Kama Invisibles, Moderators wangekuwa na busara kama hizi hapa juu, sijui kama jukwaaa lingekuwepo au kuwa na heshima kama iliyonayo sasa.
 
Na mchele umeuona? naona umetulia bila shaka umepata matokeo yako, polee

Unakurupuka eh? Umeona neno "New" na "2014" ukaja huku mbioooo.........
HILO NENO LITAKUWA LIMEANDIKWA KWENYE DAFTARI LAKO LA SHULE, Sikulaumu ni tatizo la jina lako Junior...

We ni unachezea akili za watu sio? Unazani wote tupo kama wewe, kaoge kwanza ndo uje jamvini, bullshit.
Punguza matusi kijana hiii sio sehemu ya kutukanana. Ukitaka kutukana nitafute unitukane "LIVE" ili ufurahi zaidi. Aliyechezea akili zako ni wewe mwenyewe kukataa kitu ambacho kipo kweli, ulifikiria nini badala ya kusoma wewe unacheza mitaani. Wakustahili kuoga ni wewe ulitoka mapovu na majasho ya uoga kwapani kwa kitu cha kweli.
mods futa huu uzi. huyu jamaa mwongo. Invisible Paw Moderator
UNATAKA WAFUTE ILI BABA YAKO ASIONE MATOKEO YAKO AU SIYO? POLE NDIYO HIVYO YAMETANGAZWA

Pumbaaaaaaaaaa:what::what::what::what::what::what:
Na mchele si umeuona tayari?? Au bado hujapepeta?

wizi mtupu
Wizi wa mitihani ungekuwepo kama zamani wangefaulu wote?

Kwanza anatakiwa kuwa banned
Mbona umekasirika sana au umefeli? Mlaumu mwalimu wako kwa kukufelisha, mara nyingi wenye akili darasani n waliofaulu huwa wanaadabu kwa wakubwa zao na wako kimyaaa.

wewe inaonekana ni mgeni huku jf...habari za uzushi na uongo ishia nazo hukohuko fb
Hahahaaaaaaa.... mtoto kumuita mtu mzima dogo. Kwa msaada zaidi soma "signature" yangu.
 
Na mchele umeuona? naona umetulia bila shaka umepata matokeo yako, polee

HILO NENO LITAKUWA LIMEANDIKWA KWENYE DAFTARI LAKO LA SHULE, Sikulaumu ni tatizo la jina lako Junior...

Punguza matusi kijana hiii sio sehemu ya kutukanana. Ukitaka kutukana nitafute unitukane "LIVE" ili ufurahi zaidi. Aliyechezea akili zako ni wewe mwenyewe kukataa kitu ambacho kipo kweli, ulifikiria nini badala ya kusoma wewe unacheza mitaani. Wakustahili kuoga ni wewe ulitoka mapovu na majasho ya uoga kwapani kwa kitu cha kweli.
UNATAKA WAFUTE ILI BABA YAKO ASIONE MATOKEO YAKO AU SIYO? POLE NDIYO HIVYO YAMETANGAZWA

Na mchele si umeuona tayari?? Au bado hujapepeta?

Wizi wa mitihani ungekuwepo kama zamani wangefaulu wote?

Mbona umekasirika sana au umefeli? Mlaumu mwalimu wako kwa kukufelisha, mara nyingi wenye akili darasani n waliofaulu huwa wanaadabu kwa wakubwa zao na wako kimyaaa.

Hahahaaaaaaa.... mtoto kumuita mtu mzima dogo. Kwa msaada zaidi soma "signature" yangu.

hivi we dogo unadhani mimi nipo sawa na wewe? unajua nimemaliza mwaka gani form four na form six? plus chuo kikuu? au kisa nime-post neno "pumba" unaona tuko sawa?
 
wizi mtupu

hivi we dogo unadhani mimi nipo sawa na wewe? unajua nimemaliza mwaka gani form four na form six? plus chuo kikuu? au kisa nime-post neno "pumba" unaona tuko sawa?
Akili ya kiutu uzima ingetafakari kabla ya kukurupuka kuandika upuuzi ule. Hata mtoto mdogo anajua matokeo ya kidato cha nne 2013 yametoka wewe unabisha, una utu uzima gani wewe???

Hata sisi tumepitia Vyuo Vikuu tena vya kueleweka lakini hatujisifu humu kwani sio tija kwa mtu ambaye hajaelimika kama wewe.
 
NAOMBA KUELEKEZWA MUHUNDO MPYA WA VIWANGO VYA UFAHULU (YAANA MADARAJa)
Mkuu usihofu:

[TABLE="class: grid, width: 500"]
[TR]
[TD]ALAMA
[/TD]
[TD]WIGO WA ALAMA
[/TD]
[TD]POINTI
[/TD]
[TD]TAFSIRI
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]A
[/TD]
[TD]75-100
[/TD]
[TD]1
[/TD]
[TD]UFAULU ULIOJIPAMBANUA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]B+
[/TD]
[TD]60-74
[/TD]
[TD]2
[/TD]
[TD]UFAULU BORA SANA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]B
[/TD]
[TD]50-59
[/TD]
[TD]3
[/TD]
[TD]UFAULU MZURI SANA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]C
[/TD]
[TD]40-49
[/TD]
[TD]4
[/TD]
[TD]UFAULU MZURI
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]D
[/TD]
[TD]30-39
[/TD]
[TD]5
[/TD]
[TD]UFAULU HAFIFU
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]E
[/TD]
[TD]20-29
[/TD]
[TD]6
[/TD]
[TD]UFAULU HAFIFU SANA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]F
[/TD]
[TD]0-19
[/TD]
[TD]7
[/TD]
[TD]UFAULU USIORIDHISHA
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

MADARAJA MAPYA NA POINTI ZAKE
[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD]DIVISION
[/TD]
[TD]WIGO WA POINTI
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]I
[/TD]
[TD]7-17
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]II
[/TD]
[TD]18-24
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]III
[/TD]
[TD]25-31
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]IV
[/TD]
[TD]32-47
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]0
[/TD]
[TD]48-49
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Wadau hii maana yake nini pointi ziko Sawa Div tofauti. Anayejua vigezo vilivyotumika atujuze tafadhali

Ukiangalia matoke ya shule hii iliyoko mkoani Kagera mmoja kapa point 42 - kaandikiwa Division V, Mwenzanke hivyo hivyo kaandikiwa Div. 0 sijui hii inaendaje wakuu. Angalia hapo kwenye RED, je ndiyo hivyo ama wamepitiwa?

[TABLE="width: 70%"]
[TR]
[TD="width: 6%"]S4327/0014
[/TD]
[TD="width: 4%"]M[/TD]
[TD="width: 6%"] 42[/TD]
[TD="width: 4%"]0[/TD]
[TD="width: 58%"]CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'E' ENGL - 'D' BIO - 'E' B/MATH - 'F'
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 6%"] S4327/0015[/TD]
[TD="width: 4%"] M[/TD]
[TD="width: 6%"] 23[/TD]
[TD="width: 4%"] II[/TD]
[TD="width: 58%"] CIV - 'B' HIST - 'C' GEO - 'C' KISW - 'C' ENGL - 'B+' PHY - 'C' CHEM - 'C' BIO - 'B' B/MATH - 'B'
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 6%"]S4327/0016[/TD]
[TD="width: 4%"]M[/TD]
[TD="width: 6%"] 42[/TD]
[TD="width: 4%"]IV[/TD]
[TD="width: 58%"]CIV - 'F' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'D' B/MATH - 'F'
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 6%"] S4327/0017[/TD]
[TD="width: 4%"] M[/TD]
[TD="width: 6%"] 39[/TD]
[TD="width: 4%"] IV[/TD]
[TD="width: 58%"] CIV - 'D' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'C' ENGL - 'D' BIO - 'E' B/MATH - 'F'
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 6%"] S4327/0018[/TD]
[TD="width: 4%"] M[/TD]
[TD="width: 6%"] *E[/TD]
[TD="width: 4%"] *E[/TD]
[TD="width: 58%"] ---[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 6%"] S4327/0019[/TD]
[TD="width: 4%"] M[/TD]
[TD="width: 6%"] 46[/TD]
[TD="width: 4%"] 0[/TD]
[TD="width: 58%"] CIV - 'E' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F' [/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Ili upate Div IV, lazima uwe na "C" moja au "D" mbili.
 
Ili upate Div IV, lazima uwe na "C" moja au "D" mbili.

Kazi kweli kweli kweli but Thanks, Maana nimeona kuna jamaa kapata point 45 - Div IV mwingine point 43 - Div 0 wee acha tu ni kuchanganya watu tu hapa
 
Kazi kweli kweli kweli but Thanks, Maana nimeona kuna jamaa kapata point 45 - Div IV mwingine point 43 - Div 0 wee acha tu ni kuchanganya watu tu hapa
DIV IV inaanzia pointi 32-47. Mbona haichanganyi....
 
Mkuu kwa mujibu wa ufafanuzi uliotolewa na NECTA madaraja ya ufaulu yamepangwa kwa kuzingatia vigezo vifuatavyo: [TABLE="width: 735"]
[TR]
[TD]Daraja
[/TD]
[TD]Pointi
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]I[/TD]
[TD]7 – 17
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]II[/TD]
[TD]18 – 24
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]III[/TD]
[TD]25 – 31
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]IV[/TD]
[TD]
Ufaulu katika somo moja kwa kiwango kisichokuwa chini ya Gredi C au
  1. Ufaulu katika masomo yasiyopungua mawili katika Gredi D
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
0[/TD]
[TD]Alama chini ya D mbili
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Kwa hiyo Div IV na 0 hazitegemei pointi alizopata mtahiniwa bali ni ufaulu katika masomo mawili. Pia kwa mujibu wa ufafanuzi wa NECTA E na F zote zina maana sawa ya Fail tofauti na ulivyoanisha hapo juu. Hoja ya Msingi ni kwa nini NECTA imetumia viwango tofauti na vile vilivyotangazwa na Katibu Mkuu kwenye vyombo vya habari? Tunatarajia kuwa watafafanua tena ili kuondoa mkanganyiko uliopo kila mtu anasema vyake sasa tutafika mahali hata hatutaheshimu tena matamko ya viongozi maana yamekuwa disposable sana kila kukicha wanabadilisha mambo
Mkuu usihofu:

[TABLE="class: grid, width: 500"]
[TR]
[TD]ALAMA
[/TD]
[TD]WIGO WA ALAMA
[/TD]
[TD]POINTI
[/TD]
[TD]TAFSIRI
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]A
[/TD]
[TD]75-100
[/TD]
[TD]1
[/TD]
[TD]UFAULU ULIOJIPAMBANUA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]B+
[/TD]
[TD]60-74
[/TD]
[TD]2
[/TD]
[TD]UFAULU BORA SANA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]B
[/TD]
[TD]50-59
[/TD]
[TD]3
[/TD]
[TD]UFAULU MZURI SANA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]C
[/TD]
[TD]40-49
[/TD]
[TD]4
[/TD]
[TD]UFAULU MZURI
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]D
[/TD]
[TD]30-39
[/TD]
[TD]5
[/TD]
[TD]UFAULU HAFIFU
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]E
[/TD]
[TD]20-29
[/TD]
[TD]6
[/TD]
[TD]UFAULU HAFIFU SANA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]F
[/TD]
[TD]0-19
[/TD]
[TD]7
[/TD]
[TD]UFAULU USIORIDHISHA
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

MADARAJA MAPYA NA POINTI ZAKE
[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD]DIVISION
[/TD]
[TD]WIGO WA POINTI
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]I
[/TD]
[TD]7-17
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]II
[/TD]
[TD]18-24
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]III
[/TD]
[TD]25-31
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]IV
[/TD]
[TD]32-47
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD]48-49
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Back
Top Bottom