edson mtabe
Member
- Jan 18, 2012
- 8
- 0
kipindi hiki huwa kinakuwa na tetesi nying za uongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kwenye red, umekosea au ndivyo ulivyotaka isomeke na ieleweke hivyo?
Sote tunajua kuwa waziri wakati wo wote ktk mwaka huu a-ta-tangaza matokeo. Tusichokijua na ambacho tunataka kujua ni tarehe gani? Bado hujatupa taarifa ya maana hapa labda ni kutujulisha tu kuwa atakayetangaza atakuwa waziri, taarifa ambayo sio wanayoitaka wanajf kwa sasa.