Jamani mboni kimya kingi tunasubiri matokeo kidato cha sita au mpaka ipte mei mosi?
fellas how r u doin، sasa nimepata intell mpya,i.e if u wanna know abt t,after everythng i،ve said.afu by the way kama hujajua kuchelewa kwa matokeo(yeah kucheleweshwa,kwa mpango mpya haikupangwa kufika mpaka sasa trust me) tatizo sio it department or usahihishaj o whatever,bali ni polytical(dont ask)
Jamani mboni kimya kingi tunasubiri matokeo kidato cha sita au mpaka ipte mei mosi?
Dogo tulia, pepa lilivuja nini mbona unamzuka sana.
dogo vp una guts gan ya kuulizia matokeo? Kwan ulisoma spesho xul?