Matokeo kidato cha sita 2012 lini??

Matokeo kidato cha sita 2012 lini??

Status
Not open for further replies.
Fellas how r u doin، sasa nimepata intell mpya,i.e if u wanna know abt t,after everythng i،ve said.Afu by the way kama hujajua kuchelewa kwa matokeo(yeah kucheleweshwa,kwa mpango mpya haikupangwa kufika mpaka sasa trust me) tatizo sio IT department or usahihishaj o whatever,bali ni polytical(dont ask)
 
Jamani mboni kimya kingi tunasubiri matokeo kidato cha sita au mpaka ipte mei mosi?

duh 2lia 2 kijana,shusha presha mazuri hayataki haraka. Ila kiufupi kuna matatizo flan ya kisiasa ndo chanzo. Hopefully kesho o kesho kutwa mambo yatakua hadharani
 
fellas how r u doin، sasa nimepata intell mpya,i.e if u wanna know abt t,after everythng i،ve said.afu by the way kama hujajua kuchelewa kwa matokeo(yeah kucheleweshwa,kwa mpango mpya haikupangwa kufika mpaka sasa trust me) tatizo sio it department or usahihishaj o whatever,bali ni polytical(dont ask)

2pe more info mkubwa
 
Dogo tulia, pepa lilivuja nini mbona unamzuka sana.
 
Leo ni lazima matokeo yawe released. Kwahiyo kaeni mkao wa kuvuna mlichopanda.
 
Yatatoka leo baadae kidogo.get ready.
 
Jamani mboni kimya kingi tunasubiri matokeo kidato cha sita au mpaka ipte mei mosi?

mboni kimya?ARE U MNGONI?YATATOKA TU,HATA IWE MWEZ GANI LAKINI LAZIMA YATOKE,N THIS WEEK HAITOPITA KAVUKAVU BILA MZMU WA MATOKEO
 
mpaka sasa kimya naona kawambwa naye may be anasubiri kuvuliwa gamba na presida.
 
vijana vip tena mbona mna shaka mno kama vp potezeeni c mnajiamini!wasiwasi wa nini?paper uandike wewe,mtandaoni usumbue.e bwana just wait..
 
Punde tumetoka kwenye Mkutano wa kujadili matokeo ya kidato cha sita chini ya uenyekiti wa Mwenyekiti wa Baraza la Mitihani,Prof. Rwekaza Mukandala.Matokeo yatatoka wakati wowote kuanzia sasa.Lazima iwe juma hili.Dr.Ndalichako ameshapewa agizo la kuyatangaza.Matokeo kiujumla si ya kuvutia.Watahiniwa kaeni chonjo...
 
Plz kaka vp? Ufaulu umeshuka kwa asilimia ngap? Nani mchepuo upi umefanya vizuri?
 
hapa imefunguliwa page ya necta kazi ni kureload tu mpaka yatoke
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom