Matokeo kidato cha sita 2012 lini??

Status
Not open for further replies.
Mtoto wa Kikwete vipi? Au mtihani huu wa Form Six hakuwa na binti/kijana yeyote. Bila shaka lazima apatikane mtoto mmoja wa kigogo tumjadili-Level 1, the low minded people.
 
Duu,iddnt know,kumbe mukandala ni mwenyekiti wa baraza la mitihani?kuna dogo wangu alifanya CBG,ngoja nmsikilizie kama alikuwa anasoma au anazingua nimpeleke VETA!
 
Sasa mbona saa kumi imeshapita na hakuna kitu
 
Hao wanaogopa aibu mpaka ujumbe za nchi za E.AFRICA Uondoke ndo watatoa.
 
Kuweni na subira. Mimi ninayo lakini siruhusiwi kuyatoa. Kama kawaida,wapo waliofaulu sana na waliofeli sana. Shule za Serikali zimefanya vizuri. Marian Girls, Feza Boys,moto chini. Sayansi ufaulu juu...
 
Kuweni na subira. Mimi ninayo lakini siruhusiwi kuyatoa. Kama kawaida,wapo waliofaulu sana na waliofeli sana. Shule za Serikali zimefanya vizuri. Marian Girls, Feza Boys,moto chini. Sayansi ufaulu juu...
mkuu zikitoka yatawekwa fasta kwenye internet?
 
Sijawahi kusema uongo humu jamvini. Nakumbusha mambo mawili tu niliyowahi kusema na kuonwa muongo. Kwanza,kuwa madaktari wangegoma tena. Ikawa kweli. Pili,kuwa matokeo ya kidato cha nne yamechakachuliwa. Ikadhihirika. Nitake radhi Mkuu..
 
Sijawahi kusema uongo humu jamvini. Nakumbusha mambo mawili tu niliyowahi kusema na kuonwa muongo. Kwanza,kuwa madaktari wangegoma tena. Ikawa kweli. Pili,kuwa matokeo ya kidato cha nne yamechakachuliwa. Ikadhihirika. Nitake radhi Mkuu..

vipi mkuu T1 ni he/she naona umefaglia feza na marian.arts wamechemka nini mkuu ?
 
Oya sasa tokeo linaonekana kutoka J'tano coz kesho ni public holiday 2malizien Bata wajameni"
 
Kizazi cha ubongo wa fleva lazima mayai shazi
 
Sijawahi kusema uongo humu jamvini. Nakumbusha mambo mawili tu niliyowahi kusema na kuonwa muongo. Kwanza,kuwa madaktari wangegoma tena. Ikawa kweli. Pili,kuwa matokeo ya kidato cha nne yamechakachuliwa. Ikadhihirika. Nitake radhi Mkuu..

Kaka hamna shule mpya zilizotia Fora huko!
 
hayajacheleweshwa mkuu,,, kwa experience yangu,huwa yanatoka kuanzia 1st may,,,

nanukuu maneno na kauli yangu kwa mara ya pili.... Mostly matokeo ya form six yanatoka kuanzia 1st may na kuendelea,,, niliandika hivi juzi watu mkanibishia na kuniona kilaza sana!!,,
 
Tulizeni presha vijana, "Tumejaribu,Tumeweza na Tunasonga mbele". Ndo kauli mbiu hiyo ya serikali iliyopo madarakani.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…