Matokeo kidato cha sita 2012 yametoka

Matokeo kidato cha sita 2012 yametoka

Kwani jamani kuna siku hata moja tokea mheshimiwa Kikwete aingie madarakani ufaulu wa mitihani umewahi kuwa wa chini.Kila mwaka iwe darasa la saba, form two, form four, form six na hata vyuoni ufaulu unaongezeka tu but ukiangalia in reality hakuna kitu kabisa
 
Kwa mujibu wa tbc mchana huu matokeo kidato cha sita yametoka na ufaulu umeongezeka.

TBC janga la kitaifa, mimi channel ya TBC nilifuta kwenye king'amuzi changu, I don't need listening/watching TBC
 
wadau mwenye contact za shule ya Oswald Mang'ombe naomba anipatie, ipo musoma vijijini.
 
Mod please unganisheni hizi thread za result form six 2012 zimekuwa nyngi sasa
 
wana nipa pressure tupu till awaja tupia bana!!.. paka jumatano tena!!
 
nimeangalia web. Ya necta inasomeka it is forbiden so nafikiri muda si mrefu watarelease.
 
Back
Top Bottom