Matokeo kidato cha sita inakuwaje?.

Ng'watya

Member
Joined
May 7, 2013
Posts
16
Reaction score
3
kwa tetesi za haraka ila msininukuu kutoka mamlaka husika nayo pia yachakachuliwa tena kuongeza haja za wanasiasa kama kinachotokea kidato cha nne sasa.mwenye fununu hembu funguka
 
Wacha yapendezeshwe yatoke yanang'aa mkuu c unajua na yenyewe yalikuwa mabaya kuzidi ya o'level na mfumo uliotumika ni tofauti na wa mwaka 2012 chezea Tanzania ww.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…