Matokeo Kidato cha Sita yatangazwa rasmi

Status
Not open for further replies.
Duh....kuna watu wana D D C hila div 4 sasa hao chuo inakuaje kweli hii big results full maajabu
 
Duh....kuna watu wana D D C hila div 4 sasa hao chuo inakuaje kweli hii big results full maajabu

Hapo mbona chuo 1 kwa 1? Tena huyo ataenda kusomea udaktari au uanasheria kama atakosa urubani, kwi kwi kwi
 
acsee 2014 nna 3 ya 10.phys C,chem B na biology B.je naweza pata nafasi ya kusoma pharmacy muhimbili?.na kama haiwezekani unanshauri nikasome course gani?
 
jaman ufaulu wangu BBC,b-ECONOMICS,b-HISTORY,c-GEOGRAPHY nimepata 3 ya mwanzo ya 10 na nataka kusoma agricultural economics&agribusiness pale sua,je ntafanikiwa?
 
Siku hizi kwa Advanced level div one inaanzia pt 3 hadi 7, div two inaanzia pt 8 hadi 11, div three inaanzia 12 hadi ngapi sijui sina hakika lakini hapo kwenye one nina uhakika.

Two inaanza 8 mpaka 9 bac.
 
Msaada tutani!Alama *E kwenye matokeo ya shule nzima inamaanisha nini?
 
Hiyo ni siasa kabisa. ...mwakani wanaweka ma GPA
 
Michezo 64, Nchi 32......siku 30...mshindi mmoja (Ujerumani)

........natumai STRABAG wataendelea kufanya kazi kwa munkari zaidi.....




Kha ha ha ha haaaaaaa! Nimefurahi kwa maneno yako!
 
General Studies ilikuwa unawekea S,sasa hv watu wanagonga A,B,C,D,E,S kama masomo mengine,kweli BRN iko kazini,asante mtoa post kwa kutupa matokeo.

What!? Huu ufaulu sijui kama unareflect reality au kuna genetically modified results (GMR)
 
Hii serikali mimi siiamini,eti ufaulu asilimia 95!ya kweli haya jamani?au ndo uchaguzi 2015
 
Hatimaye yametimia.hongera kauta
 
Last edited by a moderator:
Hatimaye yametimia.

Je, elimu itaboreka lini? Tumeamua kuwapitisha kisiasa watoto wetu hali ya kua hali halisi ilivyo ni tete, sawa, wakubwa wameshaamua iwe hivyo na imekuwa.
 
Sikitiko langu ni kwa Tambaza, hasa wanafunzi wa kike, pamoja na kuwa wapo karibu na chuo cha muhimbili, kwamba wapate hamasa ya kusoma, wao wanatoa uchi kwa wanachuo tu.

Nadhani serikali iangalie upya hii dhana ya kuchanganya wanafunzi wa kike na wa kiume kama inaongeza ufaulu au kama imepunguza ufaulu.

 
acsee 2014 nna 3 ya 10.phys C,chem B na biology B.je naweza pata nafasi ya kusoma pharmacy muhimbili?.na kama haiwezekani unanshauri nikasome course gani?

Utapata bila wasi wasi, shaka ondoa.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…