Matokeo Kidato cha Sita yatangazwa rasmi

Matokeo Kidato cha Sita yatangazwa rasmi

Status
Not open for further replies.
J.J. Mungai

Mamdenyi ebu nieleweshe, mbona kila mmoja kafaulu hata sayansi ambayo inaletaga tabu kwa watoto wetu. Naona umeshangilia sana! Au ni yale politically modified results! - BRN! PCB huwa tabu form six lakini naona kila mmoja amefaulu with B's and C'c
 
Watu walikuwa hawamwelewi mama Joyce Ndalichako lakini kwa hali ilivyo sasa wameshaanza kumkumbuka kabla hata hajamaliza mwaka tangu alipong'oka pale NECTA. Ukweli kama una mapenzi mema na nchi hii huwezi kufurahia hata chembe kinachoendelea kwenye sekta ya elimu eti kwa kivuli cha BRN
Kwani waliopo wamekosea nini jamani kuweni na upeo kidogo tu. Km wanafunzi walifaulu form four kuanzia c Tatu name zaidi unategemea hao wanafunzi watafeli sana matokeo ya form 6..unaona wengi wamefaulu angalia Kwa division..mfano minolity Kwa waliofaulu ambao no 10 percent ndo division 1., na majolity ni division 3 name 4...kumbuka to kea 1973 sheria ya baraza ni kuwa MTU anahesabiwa amefaulu akiwa amepata d2 ambayo ni mpaka leo...
 
Hii ya tambaza Imenitisha


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
MATOKEO YA KIDATO CHA 6 2014 YATANGAZWA

Matokeo ya mtihani wa kidato cha 6 yaliyofanyika tarehe Mei 5 – 21, yametoka.

Jumla ya watahiniwa 38,905 sawa na asilimia 95.98 ya watahiniwa waliofanya mtihani kidato cha 6 wamefaulu. Wasichana waliofaulu ni 12,080 na wavulana waliofaulu ni 26,825

Watahiniwa waliopata division IV ni 4,420 sawa na asilimia 12.54

Watahiniwa waliopata zero (0) ni 612 sawa na asilimia 1.74.

SHULE 10 ZILIZOONGOZA
1. Igowole
2. Feza Boys
3. Kisimiri
4. Iwawa
5. Kibaha
6. Marian Girls
7. Nangwa
8. Uwata
9. Kibondo
10. Kawawa


SHULE 10 ZA MWISHO
1. Ben Bella
2. Fidel Castro
3. Tambaza
4. MuhezaHigh School
5. Mazizini
6. Mtwara Technical
7. Iyunga technical
8. Al- falaah Muslim
9. Kaliua
10. Osward Mang'ombe

Kuona matokeo pitia hapa: http://www.necta.go.tz/matokeo2014/ACSEE.htm

========

MATOKEO KIDATO CHA 6: 95.98% wafaulu kidato cha 6 kutoka 87.9% mwaka jana. Tambaza ndani ya shule 10 za mwisho, K/Katibu Mtendaji Necta C. Msonde atangaza leo.
mmmmmmmh hii ndio brn bwanaeee!!!
 
Katika matokeo ya kidato cha sita yaliyotangazwa jana tumeshuhudia katika shule zilizofanya vizuri hakuna shule hata moja toka kanda ya ziwa ikijumuisha mikoa ya Shinyanga Mwanza Kagera,Geita na Mara.
Wakati huo hii ndio kanda yenye idadi kubwa ya watu na inachangia pato la taifa kwa kiasi kikubwa.
SWALI:Nini kimetupata kanda ya ziwa? Tumerogwa,tunaujumiwa au tumebweteka?.
Naomba maoni yenu wakuu😱
 
Katika matokeo ya kidato cha sita yaliyotangazwa jana tumeshuhudia katika shule zilizofanya vizuri hakuna shule hata moja toka kanda ya ziwa ikijumuisha mikoa ya Shinyanga Mwanza Kagera,Geita na Mara.
Wakati huo hii ndio kanda yenye idadi kubwa ya watu na inachangia pato la taifa kwa kiasi kikubwa.
SWALI:Nini kimetupata kanda ya ziwa? Tumerogwa,tunaujumiwa au tumebweteka?.
Naomba maoni yenu wakuu😱

Mkuu nipe matokeo ya Bwiru girls maana kwa maelezo yako hali ni mbaya na juzi tu nimetoka mwanza kumpeleka mtoto hapo Bwiru..!
 
No,
siyo chakachua, my dota was briit tokea mbali sana;
Na shule yao waalim wako siriaz sana kufundisha;
Ni shule ya tofauti sana waalimu wana wito wa kati yao.

Mamdenyi ebu nieleweshe, mbona kila mmoja kafaulu hata sayansi ambayo inaletaga tabu kwa watoto wetu. Naona umeshangilia sana! Au ni yale politically modified results! - BRN! PCB huwa tabu form six lakini naona kila mmoja amefaulu with B's and C'c
 
No,
siyo chakachua, my dota was briit tokea mbali sana;
Na shule yao waalim wako siriaz sana kufundisha;
Ni shule ya tofauti sana waalimu wana wito wa kati yao.

Ni shule gani hiyo Mamdenyi maana bado nasomesha inaeza nifaa kwa mtoto
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom