Mngoni Halisi Member Joined Jan 8, 2012 Posts 8 Reaction score 1 Jan 9, 2012 #1 Jaman me hata sielewi kuhusu haya matokeo ya kidato cha nne.Mana nasikia Wizarani yametoka lkn kwenye mtandao bado.Kama ni ivyo mbona vyombo vya habari havijatangaza kama Matokeo yametoka?
Jaman me hata sielewi kuhusu haya matokeo ya kidato cha nne.Mana nasikia Wizarani yametoka lkn kwenye mtandao bado.Kama ni ivyo mbona vyombo vya habari havijatangaza kama Matokeo yametoka?
N Ninliy Senior Member Joined Jan 8, 2012 Posts 132 Reaction score 12 Jan 13, 2012 #2 Dah!huku ndio kuchanganywa kabisa......!hata mimi nimesikia...
kholo JF-Expert Member Joined Jul 1, 2011 Posts 413 Reaction score 76 Jan 13, 2012 #3 Ninliy said: Dah!huku ndio kuchanganywa kabisa......!hata mimi nimesikia... Click to expand... mtakuja kufa kwa presha nyie watu, nani aliwaambia matokeo yanatoka saa hiz? Matokeo anzen kuyafikiria kuanzia tarehe za mwishon kabisa za mwez
Ninliy said: Dah!huku ndio kuchanganywa kabisa......!hata mimi nimesikia... Click to expand... mtakuja kufa kwa presha nyie watu, nani aliwaambia matokeo yanatoka saa hiz? Matokeo anzen kuyafikiria kuanzia tarehe za mwishon kabisa za mwez