Matokeo kizunguzungu

Mngoni Halisi

Member
Joined
Jan 8, 2012
Posts
8
Reaction score
1
Jaman me hata sielewi kuhusu haya matokeo ya kidato cha nne.Mana nasikia Wizarani yametoka lkn kwenye mtandao bado.Kama ni ivyo mbona vyombo vya habari havijatangaza kama Matokeo yametoka?
 
Dah!huku ndio kuchanganywa kabisa......!hata mimi nimesikia...
 
Dah!huku ndio kuchanganywa kabisa......!hata mimi nimesikia...

mtakuja kufa kwa presha nyie watu, nani aliwaambia matokeo yanatoka saa hiz? Matokeo anzen kuyafikiria kuanzia tarehe za mwishon kabisa za mwez
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…