environmental
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 1,054
- 137
watanzania wote kwa ujumla wao wanahusika, hata wewe huna mtoto shuleni hauoni kinachoendelea ukakipigia kelele?
Usahisaji mbovu tumeona watoto wenye uwezo kabisa wamefeli wamefaulu wasio uwezo kabisa.wasaishi upya kuna njama za maksudi kufeli watoto wa walala hoi.