Kwani kuna hasara gani kwa kikwete na wafahadhina wenzie, watoto wao wanasoma Savana plain + international schools,, huu ni mpango mkakati wa kuendeleza utawala wa kitemi, viongoz watakua wale wale tu, kna January Makamba, Lizone kikwete, hahahahaha ati Maji hufata mkondo