Ikengya
JF-Expert Member
- Oct 18, 2013
- 614
- 178
Salaam kwa wote.
Matokeo makubwa naona kama kiini macho upande wa elimu. Hii inatokana na serikali kushindwa kuwepeleka walimu tarajali katika mafunzo kwa vitendo (BTP). Kingine kinachokumba vyuo sasa ni chakula wazabuni wamegoma kuendelea kuleta chakala sababu wanadai hela kibao. Sasa hivi kila mkuu wa chuo anaamua anavyoona hali na kufunga chuo ili walimu wasilale njaa.
Kikwete batilisha uteuzi wa wabunge upeleke vijana hawa kwenye mazoezi ya kufundisha ili taifa lipate walimu bora.
Matokeo makubwa naona kama kiini macho upande wa elimu. Hii inatokana na serikali kushindwa kuwepeleka walimu tarajali katika mafunzo kwa vitendo (BTP). Kingine kinachokumba vyuo sasa ni chakula wazabuni wamegoma kuendelea kuleta chakala sababu wanadai hela kibao. Sasa hivi kila mkuu wa chuo anaamua anavyoona hali na kufunga chuo ili walimu wasilale njaa.
Kikwete batilisha uteuzi wa wabunge upeleke vijana hawa kwenye mazoezi ya kufundisha ili taifa lipate walimu bora.