Matokeo makubwa sasa katika elimu tutayapata kweli kwa mwendo huu?

YCS

New Member
Joined
Jan 13, 2014
Posts
3
Reaction score
0
kumekuwa na utoaji holela wa elimu ya sekondari usiozingatia ubora na tija kwa taifa. Mbali na serekali yetu kuwa na mipango mikakati mizuri ya kuboresha elimu kwa ujumla bado wapo watu wamekuwa wakiichezea elimu hiyo kama kichwa cha mwendawazimu, hayo ni baadhi ya mabango ya vitambaa yaliyotundikwa mlangoni mwa shule moja bubu yakiwa na jumbe tofauti za kutia mashaka, ndugu mdau wa elimu katika khali hii una mtazamo gani juu ya kauli mbiu ya matokeo makubwa sasa?






 

Attachments

  • 14010004.jpg
    832.4 KB · Views: 157
  • 14020001.jpg
    442.6 KB · Views: 129
  • 14010009.jpg
    783.8 KB · Views: 120
  • 14020006.jpg
    424.1 KB · Views: 124
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…