Siri ya sifuri
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,335
- 1,967
Baada ya mchezo baina ya taifa stars dhidi ya harambe stsrs kumalizika kwa Harambe stars kupata ushindi wa mabao 3kwa2 Nahodha wa harambe stars Victor wanyama allielezea sababu iliyowafanya stars wakose ushindi,"alisema kila stars ilipopata bao walikua wakirudi nyuma kujilinda hivyo kuwapa nafasi na wao kuwashambulia" tatizo hili nilakiufundi zaidi. ndio nawauliza wakuu, kufungwa kwetu watanzania tatizo kocha?