son of king john2
Senior Member
- Jan 11, 2014
- 131
- 33
Hivi SAUT nacho chuo au mfano wa chuo?
Ivi wewe ni mwanafunzi wa chuo Kikuu kweli.Kama ni kweli badilika hata ukiwa unatoa Taarifa. Mfano,idadi kubwa unamaanisha nini? Sema tuelewe mfano,kati ya watu 700 watu Mia 500 au 600 wamepata supp. Afu cha pili,matokeo yao si ndiyo yaliyooanza kuchakachuliwa. Elimu yetu ya sasa ni sawa na ngoma ya Baikoko.leo tarehe 13.8.2014 Chuo kikuu cha mtakatifu agustine main campus mwanza imetia fora baada ya kubandika matokeo ya semista ya pili ambayo idadi kubwa ya wanafunzi wamesap somo la basic English ya katigula na comm skills kwa mwaka wa kwanza hivyo wote walio supp mitihani ya sup inatarajiwa kuanza tarehe 8.9.2014
kuwa na akili wewe .....
unadharau SAUT unahs hiko chuo unachosoma kitakusaidia nn katika kuinua maisha yako siyo kudharau chuo wakat huna lolote la maana
kama huingii vipindi vya babu kati sahau kufaulu somo lake...nimemmiss sana..huyo mzee havaagi viatu zaidi ya sendo toka zama hizo..
Nadhani kakosea huwa wanaweka kwenye mtandao.
Ivi wewe ni mwanafunzi wa chuo Kikuu kweli.Kama ni kweli badilika hata ukiwa unatoa Taarifa. Mfano,idadi kubwa unamaanisha nini? Sema tuelewe mfano,kati ya watu 700 watu Mia 500 au 600 wamepata supp. Afu cha pili,matokeo yao si ndiyo yaliyooanza kuchakachuliwa. Elimu yetu ya sasa ni sawa na ngoma ya Baikoko.
hahaha... babu anajua english mpaka amepitilizakweli bosi- mzee wetu haachagi sendo kiatu! Mr. Good evening every one.. Today we continue with parts of verbs!