Matokeo std 7 yatoka rasmi leo hii.


Nadhani haufahamu unapigana na nani wewe. Unaowafanyia hivyo ni watanzania wenzako wasio na hatia, ambao wamekandamizwa na system iliyopo. wakidanganywa na kutojua watokee wapi. Kuna haja ya kuwasaidia ili tujenge base ya watu wenye ufahamu na kujenga hoja thabiti za kuwaondoa wazalimu madarakani. Ukitaka kupambana nao sio walioko shuleni, and nobody care, kiwango cha ufaulu kitaendelea kutangazwa kimepanda na vigezo vya kupanda hutakaa uvijue.
Pigana vita vilivyo uweze kupambana. Bado nafasi na uwezo tunao tukipigana vita kwa usahihi tutashinda.
 
Kipanga wa taifa kapata ngapi na anaitwa nani?
 
Hakika matokeo yamechakachuliwa kwasababu kuna ndugu yangu(DEO) alikwenda kwenye selection na aliporudi alitueleza kuwa matokeo ni mabaya kuliko kawaida. Kwa kauli yake alidai kuwa ufaulu kitaifa ulikuwa chini ya 50% na kuwa kuna mikoa ambayo imefaulisha kwa 20% na mingine chini ya 20%. Hii sera ya "UCHAKACHUAJI" ya hawa jamaa italimaliza hili taifa tusipokuwa waangalifu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…