Punguza hasira mkuu, tunawasubiri kidato cha kwanza. Maticha tumegundua mtindo mpya wa kufundisha sasa hivi. Unaingia darasani una wasomea watoto Course contents kutoka kwenye syllabus kama University, then unawaachia wasurf from the sources they know. Tunakutana kwenye mdterm test, na Terminal, muhura unaisha. Tukifungua July, tunawasomea Course Contents za kumaliza muhula wa pili. Kisha tunakutana kwenye Midterm ya September na Annual za November, mwaka unaisha, unakuja mwingine tena. Form two anarudia mara ya kwanza, anarudia ya pili anaingia kitaaa!!!! Tufanye nini sana? Hata kama ni wewe ungelifanya nini? No need to serve the stupid Government like that being led by JK wa pili, Itafahamika tu.