Kayabwe
JF-Expert Member
- Jan 8, 2012
- 385
- 86
Wana jf leo saa 7 mchana waziri ametangaza matokeo ya drs la 7.Kwa mujibu wa TBC-dira ya mchana kiwango cha ufaulu kimeongezeka!!Ilisemekana hali ni mbaya!Lakini hii ndio serikali ya ccm huwa hawasemi ukweli,wao ni kuchakachua kila kitu sasa hadi Elimu.