Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Wanabodi,
Baada ya Baraza la Mitihani la Taifa, NECTA, kutangaza Matokeo Tata ambayo yalitangazwa na Waziri wa Elimu badala ya Mkurugenzi wa NECTA, Mkurugenzi huyo, Bi. Joyce Ndalichako, ameibukia TBC-1 na yuko live kwenye kipindi cha Jambo.
Wenye access hebu shuhudieni jinsi anavyojikanyaga kanyaga kwa kupeleka karatasi halisi za kilichoandika na baadhi ya wanafunzi, kwa kupeleka zile zilizoandikwa matusi, ili kupata public sympathy kwa kilichotokea!.
Endeleeni kumfuatilia.
Pasco.
Baada ya Baraza la Mitihani la Taifa, NECTA, kutangaza Matokeo Tata ambayo yalitangazwa na Waziri wa Elimu badala ya Mkurugenzi wa NECTA, Mkurugenzi huyo, Bi. Joyce Ndalichako, ameibukia TBC-1 na yuko live kwenye kipindi cha Jambo.
Wenye access hebu shuhudieni jinsi anavyojikanyaga kanyaga kwa kupeleka karatasi halisi za kilichoandika na baadhi ya wanafunzi, kwa kupeleka zile zilizoandikwa matusi, ili kupata public sympathy kwa kilichotokea!.
Endeleeni kumfuatilia.
Pasco.