Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,470
Bi. Ndalichako, amepeleka nakala halisi za mitihani ili kuthibitisha baadhi ya wanafunzi, waliandika madudu, matusi na wengine wameandika "versi!". Kitendo cha kupeleka nakala halisi, badala ya kupeleka copy, ni kinyume cha kanuni, taratibu na sheria, kwa sababu mitihani halisi, ni miongoni mwa documents ziitwazo, "classified documents" ambazo zinakinga ya "confidentiality", linapotokea suala lolote linahusu kuonyeshwa kwa mitihani hiyo, Mkurugenzi wa NECTA, hana mamlaka ya kujibebea nakali halisi za mitihani hiyo, simply because mitahani hiyo iko in possession ya documents hizo!, alipaswa kutoa nakala, yaani copy na kupeleka TBC-1 na sio kupeleka nakala halisi!. Huku ni kujikanyaga kanyaga just to seek public sympathy ya justification ya matokeo ya mwaka huu kwa ku potray kuwa NECTA has no hand!, ni watahiniwa wa mwaka huu tuu ndio Vibonde!, na kuthibitisho hilo, ameleta mitihani halisi kuonyesha hivyi ndivyo walivyo!.
Pasco.
Mkuu Pasco nini kifanyike hapo kwa kukiuka utaratibu huo? Je anapaswa kushtakiwa?
Last edited by a moderator: