Matokeo uchaguzi Chadema ilikuwa kuikwamisha ACT Wazalendo kujijenga bara kupitia Lisu na kuzuia Lissu kujijenga Zanzibar kupitia ACT wazalendo

Matokeo uchaguzi Chadema ilikuwa kuikwamisha ACT Wazalendo kujijenga bara kupitia Lisu na kuzuia Lissu kujijenga Zanzibar kupitia ACT wazalendo

Shotocan

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2023
Posts
6,650
Reaction score
12,711
Kama kawaida wataalamu wa siasa yaani political scientists matokeo yakitoka ya chaguzi hufanya tathmini.

Uchaguzi wa Chadema Lisu alijiandaa barabara .Kuwa hata angeshindwa wangegawana mbao na Mbowe yeye achukue kundi linalomuunga mkono atimkie nalo ACT wazalendo.Kitendo hicho kingeifanya ACT wazalendo kujitanua mno Tanzania bara na kuwa na matawi makubwa kila kona ya nchi ghafla bin vuu

Pili Lisu kama angeshindwa na kwenda ACT wazalendo angejipanua sana upande wa Zanzibar na kukubalika pande zote za muungano kwenye nia yake ya kugombea uraisi na angepata kura nyingi kotekote hivyo kuifanya Chadema kiwe chama kidogo mno kama vya akina TLP ,nk na ACT wazalendo kugeuka kuwa chama kikuu cha upinzani kote bara na visiwa

System ya Chadema ikauelewa mchezo unaotaka kuchezwa

Hivyo Chadema wenye chama wakaamua kumpiga chenga Tundu Lisu na kumtupia gunia la misumari la uenyekiti wa Chadema na kuua ndoto zake na ndoto za ACT wazalendo kwa mpigo.Kuwa kila mmoja apambane na hali yake
 
Kama kawaida wataalamu wa siasa yaani political scientists matokeo yakitoka ya chaguzi hufanya tathmini.

Uchaguzi wa Chadema Lisu alijiandaa barabara .Kuwa hata angeshindwa wangegawana mbao na Mbowe yeye achukue kundi linalomuunga mkono atimkie nalo ACT wazalendo.Kitendo hicho kingeifanya ACT wazalendo kujitanua mno Tanzania bara na kuwa na matawi makubwa kila kona ya nchi ghafla bin vuu

Pili Lisu kama angeshindwa na kwenda ACT wazalendo angejipanua sana upande wa Zanzibar na kukubalika pande zote za muungano kwenye nia yake ya kugombea uraisi na angepata kura nyingi kotekote hivyo kuifanya Chadema kiwe chama kidogo mno kama vya akina TLP ,nk na ACT wazalendo kugeuka kuwa chama kikuu cha upinzani kote bara na visiwa

System ya Chadema ikauelewa mchezo unaotaka kuchezwa

Hivyo Chadema wenye chama wakaamua kumpiga chenga Tundu Lisu na kumtupia gunia la misumari la uenyekiti wa Chadema na kuua ndoto zake na ndoto za ACT wazalendo kwa mpigo.Kuwa kila mmoja apambane na hali yake
Mkuu kwenye haya mambo ya siasa there is more than which meets the eye.
So wacha tuone mwisho wake.
 
Kama kawaida wataalamu wa siasa yaani political scientists matokeo yakitoka ya chaguzi hufanya tathmini.

Uchaguzi wa Chadema Lisu alijiandaa barabara .Kuwa hata angeshindwa wangegawana mbao na Mbowe yeye achukue kundi linalomuunga mkono atimkie nalo ACT wazalendo.Kitendo hicho kingeifanya ACT wazalendo kujitanua mno Tanzania bara na kuwa na matawi makubwa kila kona ya nchi ghafla bin vuu

Pili Lisu kama angeshindwa na kwenda ACT wazalendo angejipanua sana upande wa Zanzibar na kukubalika pande zote za muungano kwenye nia yake ya kugombea uraisi na angepata kura nyingi kotekote hivyo kuifanya Chadema kiwe chama kidogo mno kama vya akina TLP ,nk na ACT wazalendo kugeuka kuwa chama kikuu cha upinzani kote bara na visiwa

System ya Chadema ikauelewa mchezo unaotaka kuchezwa

Hivyo Chadema wenye chama wakaamua kumpiga chenga Tundu Lisu na kumtupia gunia la misumari la uenyekiti wa Chadema na kuua ndoto zake na ndoto za ACT wazalendo kwa mpigo.Kuwa kila mmoja apambane na hali yake
Kila mtu anakuja na analysis uchwara lissu hiv lissu vile. Mpeni muda apumue mweeeeh
 
Kama kawaida wataalamu wa siasa yaani political scientists matokeo yakitoka ya chaguzi hufanya tathmini.

Uchaguzi wa Chadema Lisu alijiandaa barabara .Kuwa hata angeshindwa wangegawana mbao na Mbowe yeye achukue kundi linalomuunga mkono atimkie nalo ACT wazalendo.Kitendo hicho kingeifanya ACT wazalendo kujitanua mno Tanzania bara na kuwa na matawi makubwa kila kona ya nchi ghafla bin vuu

Pili Lisu kama angeshindwa na kwenda ACT wazalendo angejipanua sana upande wa Zanzibar na kukubalika pande zote za muungano kwenye nia yake ya kugombea uraisi na angepata kura nyingi kotekote hivyo kuifanya Chadema kiwe chama kidogo mno kama vya akina TLP ,nk na ACT wazalendo kugeuka kuwa chama kikuu cha upinzani kote bara na visiwa

System ya Chadema ikauelewa mchezo unaotaka kuchezwa

Hivyo Chadema wenye chama wakaamua kumpiga chenga Tundu Lisu na kumtupia gunia la misumari la uenyekiti wa Chadema na kuua ndoto zake na ndoto za ACT wazalendo kwa mpigo.Kuwa kila mmoja apambane na hali yake
Ukilala na njaa lazima uote ndoto za kibwege bwege tu.Hadi leo mnaomboleza tu.
 
Hii akina Yeriko walikuwa hawaijui?
Sidhani kama alijua hilo

Lisu kifupi hana furaha na Uenyekiti alioupata alijua atashindwa uchaguzi na Mbowe .Ilikuwa maajabu kwake kuona katangazwa mshindi

Lengo lake Lisu lilikuwa beyond huo uchaguzi baada ya kushindwa

Alijipanga vizuri sana next step .Alijipanga vizuri akishindwa kuliko akishinda.Mkakati wake mkubwa na kujipanga ilikuwa akishindwa.Hapo Chadema ndipo wangejua Lisu nani

Binafsi nipongeze intelijensia ya Chadema ilifanya kazi nzuri mno kwa usiri mkubwa hadi kufanikisha matokeo
 
Sidhani kama alijua hilo

Lisu kifupi hana furaha na Uenyekiti alioupata alijua atashindwa uchaguzi na Mbowe .Ilikuwa maajabu kwake kuona katangazwa mshindi

Lengo lake Lisu lilikuwa beyond huo uchaguzi baada ya kushindwa

Alijipanga vizuri sana next step .Alijipanga vizuri akishindwa kuliko akishinda.Mkakati wake mkubwa na kujipanga ilikuwa akishindwa.Hapo Chadema ndipo wangejua Lisu nani

Binafsi nipongeze intelijensia ya Chadema ilifanya kazi nzuri mno kwa usiri mkubwa hadi kufanikisha matokeo
Ila inachekesha 😂😂
 
Sidhani kama alijua hilo

Lisu kifupi hana furaha na Uenyekiti alioupata alijua atashindwa uchaguzi na Mbowe .Ilikuwa maajabu kwake kuona katangazwa mshindi

Lengo lake Lisu lilikuwa beyond huo uchaguzi baada ya kushindwa

Alijipanga vizuri sana next step .Alijipanga vizuri akishindwa kuliko akishinda.Mkakati wake mkubwa na kujipanga ilikuwa akishindwa.Hapo Chadema ndipo wangejua Lisu nani

Binafsi nipongeze intelijensia ya Chadema ilifanya kazi nzuri mno kwa usiri mkubwa hadi kufanikisha matokeo
Jitahidi watu wasijue kuwa huna akili. Uongo kama huu ni mpumbavu tu anayeweza kuuamini. Wote ni mashahidi wa jinsi CCM na dola yake walivyompambania Mbowe ili aendelee kuwa mwenyekiti na kisha amzuie Lissu kugombea Urais kwa manufaa ya CCM. Unapoleta porojo kama hizi ndiyo tunazidi kuthibitisha kuwa CCM mumeumia kwa Lissu kuwa mwenyekiti wa Chadema na tungo kama hii ni njia yenu ya kuomboleza. Kubalini kuwa suati ya wengi ni sauti ya Mungu hata Mbowe mwenyewe amekubali kiroho safi.
 
Jitahidi watu wasijue kuwa huna akili. Uongo kama huu ni mpumbavu tu anayeweza kuuamini. Wote ni mashahidi wa jinsi CCM na dola yake walivyompambania Mbowe ili aendelee kuwa mwenyekiti na kisha amzuie Lissu kugombea Urais kwa manufaa ya CCM. Unapoleta porojo kama hizi ndiyo tunazidi kuthibitisha kuwa CCM mumeumia kwa Lissu kuwa mwenyekiti wa Chadema na tungo kama hii ni njia yenu ya kuomboleza. Kubalini kuwa suati ya wengi ni sauti ya Mungu hata Mbowe mwenyewe amekubali kiroho safi.
Kwa taarifa taarifa Yako Lisu hana raha kabisa na huo Uenyekiti wa Chadema

Lengo lake halikuwa huko

Sasa kazi kwake kukuza Chadema sio ACT wazalendo
 
Hizo ni porojo za kipumbavu tu, ni mpumbavu tu anayeweza kuziamini. Endeleeni tu kujifariji lakini tutawanyoosha .
Hela Chadema hamna utanyoosha kwa kuchonga mdomo?

Tunaelekea uchaguzi hakuna media itawapa coverage ya bure bila kuwalipa airtime

Chochote cha kisiasa wao wanahesabu tangazo la biashara la kujinadi usipolipa hawarushi hewani wala taarifa ya habari wala kuandika magazetini wala mitandao ya kijamii labda mtabakia tu jamiiforums
 
Hela Chadema hamna utanyoosha kwa kuchonga mdomo?

Tunaelekea uchaguzi hakuna media itawapa coverage ya bure bila kuwalipa airtime

Chochote cha kisiasa wao wanahesabu tangazo la biashara la kujinadi usipolipa hawarushi hewani wala taarifa ya habari wala kuandika magazetini wala mitandao ya kijamii labda mtabakia tu jamiiforums
Unaota ndoto za Abunuwas, cdm ni taasisi na wanachama tupo kuipambania.
Tutakichangia chama chetu ili kipambane na mkoloni mweusi ccm
 
Kama kawaida wataalamu wa siasa yaani political scientists matokeo yakitoka ya chaguzi hufanya tathmini.

Uchaguzi wa Chadema Lisu alijiandaa barabara .Kuwa hata angeshindwa wangegawana mbao na Mbowe yeye achukue kundi linalomuunga mkono atimkie nalo ACT wazalendo.Kitendo hicho kingeifanya ACT wazalendo kujitanua mno Tanzania bara na kuwa na matawi makubwa kila kona ya nchi ghafla bin vuu

Pili Lisu kama angeshindwa na kwenda ACT wazalendo angejipanua sana upande wa Zanzibar na kukubalika pande zote za muungano kwenye nia yake ya kugombea uraisi na angepata kura nyingi kotekote hivyo kuifanya Chadema kiwe chama kidogo mno kama vya akina TLP ,nk na ACT wazalendo kugeuka kuwa chama kikuu cha upinzani kote bara na visiwa

System ya Chadema ikauelewa mchezo unaotaka kuchezwa

Hivyo Chadema wenye chama wakaamua kumpiga chenga Tundu Lisu na kumtupia gunia la misumari la uenyekiti wa Chadema na kuua ndoto zake na ndoto za ACT wazalendo kwa mpigo.Kuwa kila mmoja apambane na hali yake


..Usiseme Tanzania Bara, sema TANGANYIKA.
 
Hela Chadema hamna utanyoosha kwa kuchonga mdomo?

Tunaelekea uchaguzi hakuna media itawapa coverage ya bure bila kuwalipa airtime

Chochote cha kisiasa wao wanahesabu tangazo la biashara la kujinadi usipolipa hawarushi hewani wala taarifa ya habari wala kuandika magazetini wala mitandao ya kijamii labda mtabakia tu jamiiforums
Hela siyo kila kitu,nyie mwisho wenu umefika. October siyo mbali tusiandikie mate. Kama hamuiogopi Chadema mbona 24/7 mnahangaika kuleta propaganda za hadhi ya chekechea? Hii dola inayowabeba imeshachoka. Uzalendo kwanza CCM baadae
 
Kwa taarifa taarifa Yako Lisu hana raha kabisa na huo Uenyekiti wa Chadema

Lengo lake halikuwa huko

Sasa kazi kwake kukuza Chadema sio ACT wazalendo
Ww ni mke wake, ndugu wa karibu au upo kwenye timu aliyoichagua kuongoza chama?

Maana kama hauko hapo ww ni mpiga tarumbeta kama Malaria 2, lissu hiv lissu vile
 
Back
Top Bottom