didy muhenga
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 861
- 1,476
Lissu this Lissu that acheni fujo yamepita hayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna cha chaliyopita yapite yeye mwenyewe Lisu hukomalia yaliyopita ikiwemo kumkomalia Marehemu MagufuliLissu this Lissu that acheni fujo yamepita hayo
UWT ni wajinga haswaWw ni mke wake, ndugu wa karibu au upo kwenye timu aliyoichagua kuongoza chama?
Maana kama hauko hapo ww ni mpiga tarumbeta kama Malaria 2, lissu hiv lissu vile
CCM hawana akiliHela siyo kila kitu,nyie mwisho wenu umefika. October siyo mbali tusiandikie mate. Kama hamuiogopi Chadema mbona 24/7 mnahangaika kuleta propaganda za hadhi ya chekechea? Hii dola inayowabeba imeshachoka. Uzalendo kwanza CCM baadae
GoodUnaota ndoto za Abunuwas, cdm ni taasisi na wanachama tupo kuipambania.
Tutakichangia chama chetu ili kipambane na mkoloni mweusi ccm
Chawa anapochambua siasa za cdm huku kwenye chama chao watu wanapitishwa kihuni.Kama kawaida wataalamu wa siasa yaani political scientists matokeo yakitoka ya chaguzi hufanya tathmini.
Uchaguzi wa Chadema Lisu alijiandaa barabara .Kuwa hata angeshindwa wangegawana mbao na Mbowe yeye achukue kundi linalomuunga mkono atimkie nalo ACT wazalendo.Kitendo hicho kingeifanya ACT wazalendo kujitanua mno Tanzania bara na kuwa na matawi makubwa kila kona ya nchi ghafla bin vuu
Pili Lisu kama angeshindwa na kwenda ACT wazalendo angejipanua sana upande wa Zanzibar na kukubalika pande zote za muungano kwenye nia yake ya kugombea uraisi na angepata kura nyingi kotekote hivyo kuifanya Chadema kiwe chama kidogo mno kama vya akina TLP ,nk na ACT wazalendo kugeuka kuwa chama kikuu cha upinzani kote bara na visiwa
System ya Chadema ikauelewa mchezo unaotaka kuchezwa
Hivyo Chadema wenye chama wakaamua kumpiga chenga Tundu Lisu na kumtupia gunia la misumari la uenyekiti wa Chadema na kuua ndoto zake na ndoto za ACT wazalendo kwa mpigo.Kuwa kila mmoja apambane na hali yake
Chama Cha MajuhaCCM hawana akili
Uwongooo.....!Kama kawaida wataalamu wa siasa yaani political scientists matokeo yakitoka ya chaguzi hufanya tathmini.
Uchaguzi wa Chadema Lisu alijiandaa barabara .Kuwa hata angeshindwa wangegawana mbao na Mbowe yeye achukue kundi linalomuunga mkono atimkie nalo ACT wazalendo.Kitendo hicho kingeifanya ACT wazalendo kujitanua mno Tanzania bara na kuwa na matawi makubwa kila kona ya nchi ghafla bin vuu
Pili Lisu kama angeshindwa na kwenda ACT wazalendo angejipanua sana upande wa Zanzibar na kukubalika pande zote za muungano kwenye nia yake ya kugombea uraisi na angepata kura nyingi kotekote hivyo kuifanya Chadema kiwe chama kidogo mno kama vya akina TLP ,nk na ACT wazalendo kugeuka kuwa chama kikuu cha upinzani kote bara na visiwa
System ya Chadema ikauelewa mchezo unaotaka kuchezwa
Hivyo Chadema wenye chama wakaamua kumpiga chenga Tundu Lisu na kumtupia gunia la misumari la uenyekiti wa Chadema na kuua ndoto zake na ndoto za ACT wazalendo kwa mpigo.Kuwa kila mmoja apambane na hali yake
Act na CCM ni ndugu ACHA uongoUkilala na njaa lazima uote ndoto za kibwege bwege tu.Hadi leo mnaomboleza tu.
Mbona kama umekunywa maji ya chooni vile?Act na CCM ni ndugu ACHA uongo
Laana tupuChama Cha Majuha